Oktoba 29 pande zote hazikutegemea...
Serikali iliunderstimate raia, Pia raia hawakuijua nguvu ya dola..🤣🤣 ila baada ya pale sisi raia ni kama somo limetuingia barabara.
Ni kweli hawa siyo wayahudi waliozaliwa Israel ila history yao ilikuwa well documented....walijuwa their ancestry origin. Siyo kama wewe mmatumbi hujui ulipotokea ukajikuta upo Tanganyika na umeandikiwa history yako na wanaume wa Ulaya
Mbona mnakwepa swali la wajibu!? Una haki ya kuandamana ndiyo hatukatai....je Una haki pia ya kukata watu vidole? Au kuchoma sheli za watu? Au majengo ya serikali?
MTU aliyevuta bangi akichoma choma hovyo miundombinu, shule na biashara za watu.....Kwa nini usimuogope!? Huyo unachokifanya ni kutompa nafasi akufanye wewe ngao unamwacha atoke akapambane na vijana wa Samia
Kama yeye anauchungu angetoka bila kuvizia raia wasiokuwamo wampe kinga.
Anakutesa Sana huyo mama. Vipi mama yako alipata div. One ya point 7 ? Mbona SASA hajawa Rais?
Uongozi siyo mpaka uwe kipanga darasani Nyerere aliongoza Hadi wenye PhD wakati yeye Hana ila Hadi leo watoto wako wanamuimba shuleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.