MTU aliyevuta bangi akichoma choma hovyo miundombinu, shule na biashara za watu.....Kwa nini usimuogope!? Huyo unachokifanya ni kutompa nafasi akufanye wewe ngao unamwacha atoke akapambane na vijana wa Samia
Kama yeye anauchungu angetoka bila kuvizia raia wasiokuwamo wampe kinga.
Anakutesa Sana huyo mama. Vipi mama yako alipata div. One ya point 7 ? Mbona SASA hajawa Rais?
Uongozi siyo mpaka uwe kipanga darasani Nyerere aliongoza Hadi wenye PhD wakati yeye Hana ila Hadi leo watoto wako wanamuimba shuleni.
Ataongea mpaka masikio yenu yakariri....maana kenge hasikii mpaka masikio yatoke damu.
Simply anaweka more records Kwa vizazi vyenu vya baadae ili waje wajuwe how stupid the govt was......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.