Recent content by startergear

  1. startergear

    CCM yampiga chini Fred Ngajiro (Vunjabei) Ubunge wa Jimbo la Isimani, yamteua Emmanuela Mtatifikolo

    Hii kitu inawafanya CCM waonekane madikteta wallah! Nakumbuka Mbeya hii tabia iliwatesa miaka mingi! Mtu anayeongoza kura za maoni mwingine halafu wanaleta mgombea mwingine.
  2. startergear

    Rais wa Cuba, Miguel amesema Taifa lake liko tayari kupambana na Marekani

    Labda elimu ya madrassa lakini elimu kama elimu ukienda mbali Sana labda Una shahada ya MUM Kwanza unajuwa maana ya full scale war wewe? Hutu Tu habari mnaokoteza okoteza kwenye source za wahafidhina mnatuharibia Sana JF.
  3. startergear

    China yatoa onyo la mwisho kwa Marekani

    Kabla hujazaliwa wewe USA ilitabiriwa kujifia. Ila mpaka leo ni super power China ananufaika na uwepo wa USA kuanzia biashara na kuigilizia tech. So China anaombea USA aendelee kuwepo pale juu
  4. startergear

    Rais wa Cuba, Miguel amesema Taifa lake liko tayari kupambana na Marekani

    Haiumizi inateleza tu labda uifinye kidogo niendelee kusugua🤣 Hii siyo full scale war ndo maana kuna limited strikes huyo Iran anachoshwa tu. Lengo hao magaidi wakiiacha nchi tusipate tabu ya kuanza kuijenga upya.
  5. startergear

    Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Acha kusoma habari za mrengo mmoja, Korean war naijua vizuri kuliko hata wewe! China alisaidia uwingi wa Askari na siyo vifaa vya kisasa ....pale aliyetoa msaada wa maana na wenye impact ni USSR Kwanza kuhusu hydrogen bomb aliitumia wapi? Kwenye vita ipi? Kabla ya USA hajatumia atomic bomb kuna...
  6. startergear

    Rais wa Cuba, Miguel amesema Taifa lake liko tayari kupambana na Marekani

    Oya unapoivuta usichanganye na kinyesi bro tutakupoteza 🤣🤣
  7. startergear

    Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Alipigana wapi vita huyo China? Marekani miaka yote yupo bize na mavita vita dunia nzima wakati China yupo bize na reverse engineering.
  8. startergear

    Graham Aitaka Udhibiti Kamili wa Hormuz, Akataa Mkataba Wowote na Iran

    La pili B mna shida hapo kichwani!! Kwa hiyo ndani ya hiyo miaka arobaini bandari za Iran zilikuwa hazifanyi kazi?
  9. startergear

    Meli ya Malawi nayo yakatiza Hormuz bila hofu ya (blockade) ya Marekani

    profoundly envious person characterized by chronic and deliberate dishonesty.”
  10. startergear

    NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Mwezi nao huwa unazunguka je? Ushawahi kuuona ukizunguka live ukiwa duniani?
  11. startergear

    NASA wamerudi tena Mwezini, na tayari picha za awali zimeanza kuachiwa — Je, Wale wabishi wa ‘Moon Hoax’ Bado Wataendelea Kubisha?

    Hiyo physics yenyewe unayojinasibu nayo wamekuletea wao! Halafu unatumia hiyo hiyo kuwapinga wao. Anyway kama wanaweza kubashiri siku na saa ambayo mwezi utaziba jua na ikawa kweli Kwa nini nisiwaamini? Halafu nikuamini wewe na story zako za kama vile wanatumia Tecno kupiga picha?
  12. startergear

    Tulia kashaanza kutoa mlio tumsamehe au tumwache aisome namba?

    Anagharamiwa na serikali mpaka anakufa. Vipi wewe na yeye Nani takataka?
  13. startergear

    Mange Kimambi: AFCON 2027 itumike kudai HAKI Tanzania, kwa kufanya maandamano ya Kihistoria

    Walau yeye katimiza ndoto zake ameiacha familia katikati ya ukwasi. Sasa wale vijana wengine under 20 wametimiza ndoto gani zaidi ya kuziacha familia zao kwenye majonzi makubwa?
  14. startergear

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Hii siyo academic platform ukishaelewa ujumbe inatosha
Back
Top Bottom