Recent content by startergear

  1. startergear

    Breaking news Rais wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf adaiwa kuuawa na jeshi la Israel

    Haya tuseme waongo. Wakikwambia Idadi ya vifo wewe wa Nanjilinji utafaidika navyo nini? Kama state bado inaoperate kama kawaida haina haja ya kutangaza huto tuvifo maana hata wakikutangazia hutawasaidia kuwafufulia
  2. startergear

    Breaking news Rais wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf adaiwa kuuawa na jeshi la Israel

    Hizo ngonjera waambie jirani zako east afrika. Mnaambiwa kila siku wekeza kwenye uchumi mnawekeza kuinonesha CCM. Maana ya uchumi ni pamoja na kutumia pesa kumdhoofisha adui yako. Wewe huoni hata Russia anakodi wanajeshi dunia mzima mpaka Africa? Kwani kashindwa nini kupigana peke yake...
  3. startergear

    Breaking news Rais wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf adaiwa kuuawa na jeshi la Israel

    Hata akiuwa 1000 bado kisasi haijafikiwa sisi tunataka Netanyahu afe hapo ndo tutawaelewa 🤣🤣
  4. startergear

    FIFA yakataa ombi la Iran la kucheza mechi za Kombe la Dunia nje ya Marekani

    Uwe na mkono wa Sweta au ukatwe suna 🤣🤣
  5. startergear

    Wizara ya Elimu inaruhusuje watoto wanateswa hivi ili shule zionekane inafanya vizuri kimatokeo

    Nawapata wote huyo special ni kama amefyatuka hivi, kibiki Mweupe hivi..
  6. startergear

    Wizara ya Elimu inaruhusuje watoto wanateswa hivi ili shule zionekane inafanya vizuri kimatokeo

    Mimi nimesoma enzi za akina Mbedule mkuu alikuwa William sijui kama bado yupo Enzi hizo PCB inafyatua zero kama zote.
  7. startergear

    Wizara ya Elimu inaruhusuje watoto wanateswa hivi ili shule zionekane inafanya vizuri kimatokeo

    Kwani umelazimishwa kumpeleka mwanao huko? Shule za serikali ni bure na hata saa mbili mtoto anaenda shule tu bila shida mpeleke huko
  8. startergear

    Maziko ya Ayatolla Khamenei yameahirishwa muda huu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa Iran

    Unaweza kuta wakati wa kuzika ikapigwa moja tamu! Maayatola waliobaki wote wakaenda na maji! Mi naona Bora wamzike kimya kimya
  9. startergear

    Kwa madudu ya Epstein files, bado unaamini Israel ni taifa teule?

    Kama litrump lilipelekewa Moto na Epstein basi lizee lako lilipelekewa Moto na wakoloni ndiyo maana halina legacy yoyote! Linawaacha mnatawaliwa na akina Samia ....au litakuwa linapokea misaada ya TASAF sa hivi
  10. startergear

    Kwa madudu ya Epstein files, bado unaamini Israel ni taifa teule?

    Kwa hiyo lizee Baba yako na lizee Trump Nani first class citizen?
  11. startergear

    Tetesi: Ndege 100 zatumika kufumua ikulu ya Iran kwa mabomu 250, ilikuwa jengo sugu tena kubwa

    Kwa hiyo Yesu asingekufa unabii ungetimiaje? Acha kuwaza kupitia masaburi!
  12. startergear

    USA na Israel wanaomba nchi nyingine ziwasaidie kupigana na Iran

    Sawa Kwa Sadam tulianza hivi hivi ila kilichotokea unakijua! Jipe muda uone kama Iran itabaki kama ilivyo. Halafu usiniite mzee 🤣🤣 Mzee wako ni Ayatollah anakula bikra sasa hivi
  13. startergear

    Trump agoma kuongea na Iran, asema walichelewa, hapa ni kipigo tu

    Wewe Zochani...tulia uone bwana ako wanavyomenywa mdogo mdogo. Hivi Kwa akili yako iliyoathiriwa na visungura unahisi Irani atabaki salama mbele ya USA? Hayo makombora anayorusha kama amekatwa kichwa Yana mwisho! Soon tutaanza kulia ule mlio tuliouzowea! Mara anaua raia
  14. startergear

    USA na Israel wanaomba nchi nyingine ziwasaidie kupigana na Iran

    AI generated videos! Yaani unashindwa kumlinda raia namba moja halafu unajisifia kurusha vikombora bila mipango ya maana? Wenzako wanakumaliza mdogo mdogo Kwa kupiga strategic areas! Haya twambie Hali ya navy huko Iran
Back
Top Bottom