Recent content by startergear

  1. startergear

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa Bongo Fleva kwanini mnapiga kelele wakati wa kuimba?

    Kumbe hii ndiyo ID yako Mr. pimbi hater wa Ally na Harmo
  2. startergear

    JamiiForums Tanzania Iran wameapa kummaliza Trump

    Wameshindwa kumuua Netanyahu pua na mdomo.
  3. startergear

    JamiiForums Tanzania Maandamano yamefanikiwa

    Kwa hiyo Samia ameshakimbia nchi? Hujui kwamba watawala hawajali hilo!? Usipotoka kuandamana anabaki kuchekea chooni 😜😜😜😜. Ukitoka kuandamana ukipona pona Sana unarudi kilema.
  4. startergear

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri Sasa Waandamanaji wanaogopwa kuliko Jeshi

    MTU aliyevuta bangi akichoma choma hovyo miundombinu, shule na biashara za watu.....Kwa nini usimuogope!? Huyo unachokifanya ni kutompa nafasi akufanye wewe ngao unamwacha atoke akapambane na vijana wa Samia Kama yeye anauchungu angetoka bila kuvizia raia wasiokuwamo wampe kinga.
  5. startergear

    JamiiForums Tanzania Maandamano yamefanikiwa

    Vipi ulikaa uvunguni kama mo29 kamanda? Ungetoka basi labda ungekomboa taifa leo 😃😃😃
  6. startergear

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Ujasiri wa karne Sabasaba. Sisi ni Washindi. Aluta Continua!

    Anakutesa Sana huyo mama. Vipi mama yako alipata div. One ya point 7 ? Mbona SASA hajawa Rais? Uongozi siyo mpaka uwe kipanga darasani Nyerere aliongoza Hadi wenye PhD wakati yeye Hana ila Hadi leo watoto wako wanamuimba shuleni.
  7. startergear

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri Sasa Waandamanaji wanaogopwa kuliko Jeshi

    Kwa uandishi huu CCM watawale milele tu! Usikute Una Ka degree na wewe
  8. startergear

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri Sasa Waandamanaji wanaogopwa kuliko Jeshi

    Unajifariji 😃😃😃 ungetoka useme suu! Uone
  9. startergear

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dereva wa John Heche akutwa amefariki chumbani Kigoma

    Bro mambo gani hayo? Peleka watoto na wewe ila mke tuachie bado mbichi maana hautorudi 🤣🤣
  10. startergear

    JamiiForums Tanzania Iran: kwasasa hatuna chaguo zaidi ya kutengeneza Bomu la atomiki kukabiliana na vitisho vya kijeshi dhidi ya marekani na Israeli.

    Spin doctor! Israel ni dude halitikisiki pale! Ila nakuelewa nyie hata mkifa ni ushindi pia
  11. startergear

    JamiiForums Tanzania Iran: kwasasa hatuna chaguo zaidi ya kutengeneza Bomu la atomiki kukabiliana na vitisho vya kijeshi dhidi ya marekani na Israeli.

    Kwa hiyo mitaa ya Tel Aviv sasa hivi wametapakaa Hezbollah!? 💩💩
  12. startergear

    JamiiForums Tanzania Iran: kwasasa hatuna chaguo zaidi ya kutengeneza Bomu la atomiki kukabiliana na vitisho vya kijeshi dhidi ya marekani na Israeli.

    Stupid wa head wanawauwa kila siku na hawasongi mbele kufika Tel Aviv
  13. startergear

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Baadhi ya maeneo Dar na Zanzibar yakosa umeme kutokana na hitilafu Kituo cha kupoza umeme Ubungo

    Nakazia hapo Mwinyi awajengee kituo Chao cha kufua umeme
  14. startergear

    JamiiForums Tanzania Putin anapata tabu sana kwa mashambulizi ya Ukraine nchini mwake!!

    Kauli maarufu toka dei wani 🤣🤣🤣🤣
  15. startergear

    JamiiForums Tanzania Prof. Assad: Nikipigiwa simu kutoka juu ya maagizo, asubuhi yake nilikuwa naandika barua

    Ataongea mpaka masikio yenu yakariri....maana kenge hasikii mpaka masikio yatoke damu. Simply anaweka more records Kwa vizazi vyenu vya baadae ili waje wajuwe how stupid the govt was......
Back
Top Bottom