Hii kitu inawafanya CCM waonekane madikteta wallah! Nakumbuka Mbeya hii tabia iliwatesa miaka mingi! Mtu anayeongoza kura za maoni mwingine halafu wanaleta mgombea mwingine.
Labda elimu ya madrassa lakini elimu kama elimu ukienda mbali Sana labda Una shahada ya MUM Kwanza unajuwa maana ya full scale war wewe? Hutu Tu habari mnaokoteza okoteza kwenye source za wahafidhina mnatuharibia Sana JF.
Kabla hujazaliwa wewe USA ilitabiriwa kujifia. Ila mpaka leo ni super power China ananufaika na uwepo wa USA kuanzia biashara na kuigilizia tech.
So China anaombea USA aendelee kuwepo pale juu
Haiumizi inateleza tu labda uifinye kidogo niendelee kusugua🤣
Hii siyo full scale war ndo maana kuna limited strikes huyo Iran anachoshwa tu. Lengo hao magaidi wakiiacha nchi tusipate tabu ya kuanza kuijenga upya.
Acha kusoma habari za mrengo mmoja, Korean war naijua vizuri kuliko hata wewe! China alisaidia uwingi wa Askari na siyo vifaa vya kisasa ....pale aliyetoa msaada wa maana na wenye impact ni USSR Kwanza kuhusu hydrogen bomb aliitumia wapi? Kwenye vita ipi? Kabla ya USA hajatumia atomic bomb kuna...
Hiyo physics yenyewe unayojinasibu nayo wamekuletea wao! Halafu unatumia hiyo hiyo kuwapinga wao. Anyway kama wanaweza kubashiri siku na saa ambayo mwezi utaziba jua na ikawa kweli Kwa nini nisiwaamini? Halafu nikuamini wewe na story zako za kama vile wanatumia Tecno kupiga picha?
Walau yeye katimiza ndoto zake ameiacha familia katikati ya ukwasi. Sasa wale vijana wengine under 20 wametimiza ndoto gani zaidi ya kuziacha familia zao kwenye majonzi makubwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.