Haya tuseme waongo. Wakikwambia Idadi ya vifo wewe wa Nanjilinji utafaidika navyo nini? Kama state bado inaoperate kama kawaida haina haja ya kutangaza huto tuvifo maana hata wakikutangazia hutawasaidia kuwafufulia
Hizo ngonjera waambie jirani zako east afrika. Mnaambiwa kila siku wekeza kwenye uchumi mnawekeza kuinonesha CCM.
Maana ya uchumi ni pamoja na kutumia pesa kumdhoofisha adui yako.
Wewe huoni hata Russia anakodi wanajeshi dunia mzima mpaka Africa? Kwani kashindwa nini kupigana peke yake...
Kama litrump lilipelekewa Moto na Epstein basi lizee lako lilipelekewa Moto na wakoloni ndiyo maana halina legacy yoyote! Linawaacha mnatawaliwa na akina Samia ....au litakuwa linapokea misaada ya TASAF sa hivi
Sawa Kwa Sadam tulianza hivi hivi ila kilichotokea unakijua! Jipe muda uone kama Iran itabaki kama ilivyo. Halafu usiniite mzee 🤣🤣 Mzee wako ni Ayatollah anakula bikra sasa hivi
Wewe Zochani...tulia uone bwana ako wanavyomenywa mdogo mdogo. Hivi Kwa akili yako iliyoathiriwa na visungura unahisi Irani atabaki salama mbele ya USA? Hayo makombora anayorusha kama amekatwa kichwa Yana mwisho! Soon tutaanza kulia ule mlio tuliouzowea! Mara anaua raia
AI generated videos! Yaani unashindwa kumlinda raia namba moja halafu unajisifia kurusha vikombora bila mipango ya maana? Wenzako wanakumaliza mdogo mdogo Kwa kupiga strategic areas! Haya twambie Hali ya navy huko Iran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.