Recent content by Starr

  1. S

    Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

    Siasa za Tanzania sanaa tupu vijana wengi wanatarajia kupata vyeo vya serikali kwa kukashifu wengine. Huu mtindo utatufikisha pabaya
  2. S

    PICHA: Rais Kikwete katika ziara rasmi Ottawa, Canada

    Mjadala wa mitaani leo kuhusiana na picha hii ni kuwa baada ya hawa jamaa (Wazungu) kufyonza madini kwa sana sasa wanataka gesi na mafuta kwa hivyoo wazungu wako tayari hata kumbeba mkulu kama walivyokuwa wanabebwa masultan enzi ya utumwa. Wengi wanasema heri hata chief Mangunga kwani hakuwa na...
  3. S

    Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

    Naona una jitahidi kumtetea huyo mnafiki mkubwa this time his true colour imefahamika
  4. S

    Sheikh Ponda yuko sahihi

    Waambie wafanye sensa yao wajue idadi ya waumini wa kiislam
  5. S

    CHADEMA kutoa msimamo mzito leo; Ni baada ya rais kusaini muswada wa upatikanaji wa katiba mpya

    Mabadiliko ya kweli hayataletwa na wanasiasa na vyama vya siaa. Mfano Egypt, Tunisa, Libya, Yemen na Syria
  6. S

    Rais kubadilisha mawazo sio unyonge na sio ushindi wa CHADEMA

    Watanzania wenzangu mabadiliko ya kweli ya taifa hili hayataletwa na vyama vya siasa tunaona njia ileile CUF waliyopita CHADEMA wanaifuata. Kweli viongozi wote wa siasa bongo ni sawa na wachojali ni maslahi binafsi. Real Changes italetwa na watanzania watakapoamu kufanya hivyo na siyo vyama vya...
  7. S

    Kikao kati ya CHADEMA na Serikali (Ikulu) chaisha, makubaliano haya hapa!

    Watanzania wenzangu mabadiliko ya kweli ya taifa hili hayataletwa na vyama vya siasa tunaona njia ileile CUF waliyopita CHADEMA wanaifuata. Kweli viongozi wote wa siasa bongo ni sana na maslahi binafsi. Real Changes italetwa na watanzania watakapoamu kufanya hivyo na siyo vyama vya siasa. Kwa...
  8. S

    Kikao kati ya CHADEMA na Serikali (Ikulu) chaisha, makubaliano haya hapa!

    Watanzania wenzangu tumeona hali ilivyo CHADEMA inafanya yaleyale ya CUF. Madiliko ya kweli ya Taifa hili hayataletwa na vyama vya siasa. Hizi porojo za kitoto. Hakuna wapinzani wa kweli nchi hii wote maslahi binafsi
  9. S

    Makinda azuia watu kutumia barabara; yafunguliwa baadaye

    barabara bado haijafunguliwa wameondoa kibao tu kinachoonyesha barabara imefungwa. Hii ni dhambi ya ubinafsi inawatafuna baada ya kugawana nyumba za serikali poa sasa wameamua kuchukua barabara za umma kuwa mali yao hakika hii dhambi ya ubinafsi itawaua ccm
  10. S

    Mkapa angewafaa zaidi Waislam Kuliko Kikwete

    Hiyo orodha yako si sahihi. Lakini kikubwa mtu ateuliwe kwa uwezo wake na si udini.
  11. S

    Ephraim Kibonde Jahazi Show

    wewe kaanza kukukera leo mimi toka siku kibao ananikera toka siku nyingi.
  12. S

    GE2010 Slaa aelekea Mbeya

    Poleni sana lakini anatia simu leo
Back
Top Bottom