Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Duuh ulipotea mpaka ukauliiziwa vipi baba kwema lakini?Chadema sasa mnataka kutoa msimamo gani tena wakati juzi mmekutana na rais ikulu mkanywa chai pamoja mkampa mapendekezo yenu!
Duuh ulipotea mpaka ukauliiziwa vipi baba kwema lakini?Chadema sasa mnataka kutoa msimamo gani tena wakati juzi mmekutana na rais ikulu mkanywa chai pamoja mkampa mapendekezo yenu!
Hata Nape mmemponza kwa njia hii hii ya kushangilia komenti zake za kipuuzi, leo mmemkimbia hatuoni mkiongelea kwisha habari yake kaiacha Chadema, hata hili la katiba siku likimgeuka aliyesaini ambaye ni hero leo mtakimbia kwa sababu mko kwa ajili ya komenti ya siku husika mfurahishane hamkomenti huku mkifikiria kuna kesho kujibu.
Huo ndio ukweli Chadema walikwenda kunywa chai ikulu..
Kwa nini sasa wanataka kutoa tamko la nini?
hii ni dalili ya ubongo usiofikiri kwani sijui mwenzetu alitaraji nini zaidi ya maongezi na kusubiri.Huo ndio ukweli Chadema walikwenda kunywa chai ikulu..
Kwa nini sasa wanataka kutoa tamko la nini?
Your group is always the loser tuliwaambia mnaponza Nape mkabisha leo group lile lile linaendelea kumponza rais.Na bado utaongea yote mwaka huu, rais ndio kaishafanya kazi aliotumwa na wananachi wake, kasaini baada ya kunywa juice na keki na Chadema Ikulu
Chadema cc wananchi ndo tunawapa nguvu tunapowashabikia na kuwaunga mkono hata kwa mambo yasiyona maslahi, lakini wao kama wao kwenye uongozi hawana lolote usanii tuu, kama huamini embu fikiria au jiulize kila jambo lazima washtaki kwa wananchi wao uwakilishi wao uko vp? Wanafanya kazi gani au hoja zao hazina mashiko?, Hiki ni kipindi cha masika watuache tukalime kwanza tutawasaidia baadaye . .Porojo nyiiingi na siasa zao za kitoto,, watu wasio tii hata vyombo vya sheria fumbapu zao.
Tuunde "TUME KIVULI". Ataiona tu JK. Wanasema ni msikivu. Kuna majina atayakubali tu.Wewe subiri utangaziwe majina ya wajumbe huna haja hata ya kujipanga.
JK na CCM yake walipewa nafasi lakini wameipoteza -- mimi huwa si muumini mkubwa wa makubaliano bila shinikizo, anyway CDM mmefanya wajibu wenu kama chama cha wastaarabu kudai haki kwenye Meza, maadam jamaa kawazidi kete basi Wembe ni ule ule -- Nguvu ya Umma irudi barabarani aone kama ataufanyia kazi huo muswaada aliousaini. Police waagize mabomu, virungu tayari tayari kwa shughuli za mapambano na waajiri wenu yaani wananchi.Habari zenu wana JF;
Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo tarehe 30/11/2011 kinatarajia kutoa msimamo mzito baada ya Rais kusaini muswada wa upatikanaji wa katiba mpya.
M/kiti wa CDM Mbowe "Tulimuomba Rais Kikwete asisaini muswada huu mpaka makubaliano yetu yatekelezwe"
Kaimu Katibu mkuu wa CDM, Mnyika "Chama kitatoa msimamo mzito leo, tulimshauri Raisi Kikwete asisaini muswada huu mpaka kwanza tuliyokubaliana yatimizwe"
Wakuu mwenye taharifa zaidi atujuze.
Nawasilisha.
Chadema kuna vichwa kule CCM ilikuja na mbinu ya kuipaka CDM kuwa chama cha vurugu CDM wamewazunguka wameanza kwa mazungumzo.Hivi kuna mtu alitegemea kupata kitu kutoka kwa JK anayeshauriwa na Wasira, Lukuvi nk? CDM wamewatega mitego yao vizuri sana, subirini muone mambo yatakavyokuwa.
Hakuna ushauri ambao CDM huwa wanauchukua toka kwa wanachama wake...in other words CDM haina tofauti na Kikwete wa CCM!! kila kitu usanii.....ona sasa aibu hii!
Mkuu Waberayo me nadhani ungeweka hoja hapa ya ushauri wako kwa chadema kuliko kutoka povu kwa hasira! Je unatakaje? waungane na Cuf,tlp na ccm kupinga au waungane na jukwaa la katiba kuomboleza siku 9? Hebu tusubili hilo Tamko la cdm later then tujadili.
Mkuu ushauri ni simple and clear.....simamia maamuzi yenu! acheni kuyumbayumba
CDM isingerudi tea mjengoni, hakukuwa na haja ya kuonana na rais, mkionana na rais na kuchekeana seriousness inaungua
HAKUNA URAFIKI NA CCM MBONA HAMSIKII??? Mbowe aache unafiki
Kudos to SLAA katika hili, bifu bifu tu hakuna kucheka na wezi..
unanielewa sasa??
kaka una-deep TIS - :eyebrows:Paka ni baba yako na mama yako waliokuzaa kwa kufanya uzinzi kimakosa na ukaletwa wewe wenye akili matope wenywe kushabikia kila jambo,sijui mtaacha lini ukibaraka wa kuwa CCM.
Kwa suala la Chadema na Mbowe msimamo wako unajulikana huna haja hata ya kukomenti mimi nikionaga ID yako tu basi najua utasema nini.Mkuu ushauri ni simple and clear.....simamia maamuzi yenu! acheni kuyumbayumba
CDM isingerudi tea mjengoni, hakukuwa na haja ya kuonana na rais, mkionana na rais na kuchekeana seriousness inaungua
HAKUNA URAFIKI NA CCM MBONA HAMSIKII??? Mbowe aache unafiki
Kudos to SLAA katika hili, bifu bifu tu hakuna kucheka na wezi..
unanielewa sasa??
nimekubali kwamba Mtanzania akikamatwa na kosa lolote Rwanda au Uganda, mapolice wakijua ni Mtanzania tu kamwe hutapewa muda wa kujitetea - Jiulize why?Mkuu ushauri ni simple and clear.....simamia maamuzi yenu! acheni kuyumbayumba
CDM isingerudi tea mjengoni, hakukuwa na haja ya kuonana na rais, mkionana na rais na kuchekeana seriousness inaungua
HAKUNA URAFIKI NA CCM MBONA HAMSIKII??? Mbowe aache unafiki
Kudos to SLAA katika hili, bifu bifu tu hakuna kucheka na wezi..
unanielewa sasa??
Ni nyie hao hao mliotaka muafaka ufanyike badala ya maandamano kila kukicha, kama CDM wangetangaza maandamano nchi nzima mngeanza kusema chama cha waleta fujo, jazba, hawataki kukaa mezani na wenzao, ooohh wantoka toka bungeni tu bila kutoa sababu za msingi. Leo hii CDM kwa kutumia ukomavu wa kisiasa wameamua kumwoa RAIS wa Jamhuri ya muungano kwa mazungumzo ya Katiba na si kwa lolote lingine-- eti wamefanya kosa na wanajikomba. mengi mno yamesemwa kwenye move ya CDM huwezi kuamini hawa watanzania kweli au wengine.
Ku-deal na M-TZ ni shughuli pevu sana.. ndiyo maana hamna umeme na maji miaka 50 tangu mpate uhuru.