Zitto hakuhusika isipokuwa kuna shinikizo la kumuweka kwenye list ili kukidhi matakwa ya kisiasa.
Kosa la Zitto kwenye hii saga ni kutoa kauli mapema mno watu waka-tafsiri kuwa na maslahi Tanesco. Na kwa bahati mbaya, watu ambao wamekuwa wanamtetea wamejikita sana kugeuza mambo ili yaonekane kuna msukumo wa ukabila na udini, badala ya kupambana na tuhuma zenyewe.