Recent content by Starkwood

  1. S

    VIBALI VYA BIASHARA YA TUMBAKU TANZANIA, na upatikanaji wake.

    habari ndugu zangu. naomba kujua vibali vinavyohitajika hapa Tanzania ili kuniwezesha kufanya biashara ya TUmbaku ndani na nje ya Tanzania. ( kununua na kuuza nje ya Tanzania)
  2. S

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Dah unakosea sana Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Nape Nnauye amkabidhi Ofisi Waziri Mwakyembe kwa bashasha na furaha

    nape yupo dodoma anakabidhi ofisi, sio dar. au umesahau wizara zimehamishiwa dodoma
  4. S

    Rais Magufuli na Mh. Mbowe uso kwa uso leo

    viongozi wa dini ndo wamewaita wenyeviti wa vyama
  5. S

    Happy birthday to me

    HAPPY BIRTHDAY COMRADE, LONG LIVE TO SEE YOUR GRAND GRAND DAUGHTERS MARRIED TO MY GRAND GRAND SONS.
  6. S

    Ninataka kuanzisha "ATM ya vyakula"

    haitaitwa ATM (Automated Teller Machine) itabidi iitwe AFM (Automated Food Machine)
  7. S

    Jamani ni uzungu au maana na huku siku hizi imekua fashion

    jana mwanamke wangu ananiambia twende dukani tukanunue condom kufika pale anaulizia na baby care.. dah sikuwa na namna nyingine nikaongeza hela kununua hiyo baby care
  8. S

    Jamani ni uzungu au maana na huku siku hizi imekua fashion

    hii inaenda na mabadiliko ya tabu ya nchi hahaha
  9. S

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    dah tanzania nchi ya ajabu sana, yaani kuna wafanyakazi hewa wanaochukua mshahara na kuna wafanyakazi wanafanya kazi lakini hawachukui mshahara.
  10. S

    Picha Rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakayotumika kwenye Ofisi

    sisi pia tumeweka ya lowassa cause ndo naamini ndo raisi wetu
  11. S

    Kuanzisha Car Rental in Iringa Region

    Mambo vipi wadau, nimekuja mbele yenu kuwaomba ushauri. Biashara ya kukodisha magari kwa dar es salaam ni kati ya biashara zinazolipa sana. kwa wale wadau wanaoishi iringa au waliowahi kufika iringa. Je nikianzisha biashara kama hii ya kukodisha magari kwa mji wa iringa italipa au. naombeni...
  12. S

    Fursa ya kujiajiri

    kula millioni
Back
Top Bottom