habari ndugu zangu. naomba kujua vibali vinavyohitajika hapa Tanzania ili kuniwezesha kufanya biashara ya TUmbaku ndani na nje ya Tanzania. ( kununua na kuuza nje ya Tanzania)
jana mwanamke wangu ananiambia twende dukani tukanunue condom kufika pale anaulizia na baby care.. dah sikuwa na namna nyingine nikaongeza hela kununua hiyo baby care
Mambo vipi wadau, nimekuja mbele yenu kuwaomba ushauri. Biashara ya kukodisha magari kwa dar es salaam ni kati ya biashara zinazolipa sana. kwa wale wadau wanaoishi iringa au waliowahi kufika iringa. Je nikianzisha biashara kama hii ya kukodisha magari kwa mji wa iringa italipa au. naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.