Recent content by star TMT

  1. star TMT

    Napatwa na kichefuchefu nikikutana na mwanamke aliejichubua

    Serikali ingetusaidia kuweka strict laws za kuzuia importation ya hizi chemicals
  2. star TMT

    Napatwa na kichefuchefu nikikutana na mwanamke aliejichubua

    Nahisi kutapika kabisa nikiiona hiyo picha itoweni
  3. star TMT

    Hii kauli naona kama inatuhusu

    Hizo quotes mbona huwa ni za wadhungu tu hamnaga wavietnam au waarabu wanaoweza kuwa quoted Sent using Jamii Forums mobile app
  4. star TMT

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Naomba kufahamishwa ubora wa flat screen Aina ya samyang Sent using Jamii Forums mobile app
  5. star TMT

    Serikali yatenga Tsh 212 Milioni kwa ajili ya kituo cha MV Chato

    Mkoa namba 2 kwa umaskini na wao wanataka maendeleo kama sehemu zingine Sent using Jamii Forums mobile app
  6. star TMT

    Watangazaji wa Clouds 360 wawaponda CHADEMA kwenye kipindi chao

    Hawa wanadaiwa pia na TRA Sent using Jamii Forums mobile app
  7. star TMT

    Mnaoomba vyuo epukeni kozi hizi kama hamna channel

    Bsc Aquaculture mtasugua mno Kila unapoenda kuomba kazi unaambiwa hawaitambui iyo course so kuweni makini Sent using Jamii Forums mobile app
  8. star TMT

    USA vs N.Korea Military Power

    Hata vita ya majimaji ilikuwa ngumu kwa mjerumani
  9. star TMT

    Korea kaskazini yaionya Marekani kuhusu kusogelea pwani yake

    Hii vita Bora izuiliwe isitokee kuna umwagikaji wa damu sana
  10. star TMT

    VIDEO: Msanii Roma na wenzake warejea rasmi uraiani. Kufunguka Jumatatu

    Hawa wote wanatuchezea akili chafu na michezo yao pesa haijawahi shindwa chochote
  11. star TMT

    Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

    Ingekuwa vizuri kama watachukua hatua sitaki wapo wengi sana walanguzi
Back
Top Bottom