Nimekuwa nikisikia wataalam mbali mbali wakisema kuwa vifo vingi vinatokana na utaratibu wa watu kutofanya check up za mala kwa mala,wanasema kuwa hata cancer ikigundulika mapema huweza kupona na magonjwa mengine mengi.
Sasa naomba kuuliza, inafaa kufanya check up kila baada ya muda gan? Na...
Ndugu zangu naomba msaada wa gharama za tofali za block endapo nitatengeneza mwenyewe na sio kununua. Juz nilienda kijijini kwetu ambako nataka nianzishe mradi wa kufuga nguluwe, hivyo nikaenda kuuliza bei ya tofali za block kwa ajiri ya ujenzi wa mabanda na nyumba ndogo ya wafanya kazi,cha...
Unaanzaje kupanic dhidi ya mtu aliyekatia tamaa maisha yake, anashangaa hata mtu kusoma kenya wakati watu wanasoma England toka primary
Sent using Jamii Forums mobile app
Ach
Acha kudanganya watu, mwenzio anaumwa wewe unataka akatapeliwe. Huyo angekuwa anaponya usingetakiwa umwambie mtu ila kila mtu angekuwa anajua, sio yeye tu wengi hujifanya wanatiba wakati ndugu zao wanateketea na huo ugonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee, matibabu ya ukimwi kwa ulaya yameboreshwa sana, ukifuata taratibu utaishi maisha ya kawaida tu. Nadhani kuna magonjwa hatari kushinda hilo,mfano cancer
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora upige Kimya kuliko kuongea upuuzi kama huuu,, Mimi kusoma Kenya kimekuuma nini? Complication gan ambazo akili yako inazijua ukisoma nje?et ualimu unaendaje kusoma nje, kwahiyo kuna course zinakutaka usome nje na zingne usome nchini? Jinga moja wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wana JF, nina degree ya education kutoka chuo cha kenyeta university nairobi Kenya, natafuta kazi ya ualimu. Namudu kufundisha masomo ya arts
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.