Mkuu haupo serious
2020, jeshi na. Wakurugenzi watatumika kushindisha.
Kushinda ccm sio kipimio chakupendwa sababu ushindi wakuiba kura hauwezi kuwa kipimo sahihi.
Ukweli unajitabanaisha kwamba, udhalilishaji, ukandamizaji, utesaji na kupora haki vinabaraka za mkuu kupitia:-
1. Vyombo vya usalama yaani dola
Tumeshuhudia RAIA wakipigwa bila sababu za msingi kwa visingizio vya kuhatarisha amani, wakiuwawa, wakiteswa nk. Hakuna anayewajibishwa upande Wa...
Wewe hujitambui na unaandika kishamba hata ukirudia kusoma ulichoandika akili zako mwenyewe zinakusuta
1. IGP anapewa Masaa 12 kutafuta mbwa na wateule Wa rais
- Ben SAA nane na mbwa kipi bora
- Tundu lisu na mbwa kipi bora
2. Katiba yetu inatoa mamlaka ya kutoa na kupashana habari kwa Uhuru...
Hakuna mwanadamu yoyote alieishi milele
Wababe wote walikatiza wengine kwa vifo vya aibu
Hiii Ccm haitaishi milele
Nao wauwao na kutesa wengine pia watakufa
Eleweni kilichonamwanzo lazima mwisho upO.
Teteeni ushenzi kwa kuwa ushenzi ni desturi ya washenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.