Rais wa Uswis kakaa nchini kwa wiki mbili akiangalia mbuga na Zanzibar, kaondoka kimyakimya bila kuonana na Rais Magufuli

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Rais wa Uswis ndugu Alain Berset amekaa nchini Tanzania kwa takribani wiki mbili na kuondoka bila kuonana na Rais mwenzake ndugu John Pombe Magufuli. Alipokewa KIA na waziri mkuu na kuagwa na waziri wa mambo ya nchi za nje.

Lipo tatizo?
Ndiyo, haiwezekani miongoni mkubwa wa nchi kama Uswis anakuja na kuondoka kimya kimya ndani ya nchi kama Tanzania bila kubadilishana walau mawazo mawili ma tatu na rais mwenzake ili kutengeneza fursa mbalimbali. Kuna tofauti kubwa kati ya rais na mawaziri na ndiyo maana tukasema "Nchi iwe na rais kama kiongozi mkuu" Huyu popote pale atakapoongea ujumbe wake utakuwa tofauti sana na walio chini yake.

Hii tabia ya Rais Magufuli kukwepa kwepa viongozi mbalimbali wenye ushawishi duniani inatupelekea ujumbe kuwa pengine hatuna mtu wa aina ya wenzake huko duniani katika kiti hicho. Anakuja rais wa Uswis tunakwepa kwepa kuonana naye kisha anakuja rais wa Ethiopia huyo tunamuomba hadi mikopo. Zaidi amekuja kwenye huo utalii hata waizir mwenyewe mwenye dhamana ya huo utalii hakutaka kubadilishana naye mawazo na kupata fursa zaidi. Yupo huko anajiita "Mzee wa pori kwa pori" Anafanya ziara ambazo kama waziri hazina maana wala ufanisi wowote ule kwenye kuendeleza sekta hii muhimu nchini.

Mbaya zaidi ni nadra sana kwa huyu kiongozi kutembelea nchi yetu kikazi. Moja ya neno "mchapa kazi" ni kuitumia fursa mahali ambapo ni vigumu kuitumia! Tunaita kupaa kwa kutumia mikono! Huyu kiongozi hata kama kaja kwa mambo binafsi, ingetosha tu kumualika ikulu au hata Pombe John Magufuli angetumia usafiri wa helkopta kumfuata huko mbugani ili atumie nafasi vizuri! Huyo ndiye kiongozi anayeitwa mchapa kazi! Siyo hizi tunazoona.

Hata kama ni mimi amekuja Bilgate kwenye pori langu kuangalia nyasi basi nitakuwa mjinga sana kuwaacha tu wanangu wampokee na kumalizana naye eti kwakuwa hakuja kwa ajili yangu! Nitakuwa sijaitendea haki fursa ya uwepo wa lile pori. Rais awe popote pale duniani atabaki kuwa Rais. Kwa viongozi wa nchi kama Uswis kutokutumia fursa hadhimu kama hizi kuwaona popote pale walipo kwa urahisi wa aina hii kwa visingizio visivyo na mashiko hakutuondolei kuitwa "Wazubaifu tuliopitiliza"

Tusijidanganye! Bado sisi ni nchi changa tena sana! Tuachane na zile tambo za kanda ya ziwa.
 
Last edited:
Rais wa Uswis ndugu Alain Berset amekaa nchini Tanzania kwa takribani wiki mbili na kuondoka bila kuonana na Rais mwenzake ndugu John Pombe Magufuli. Alipokewa KIA na waziri mkuu na kuagwa na waziri wa mambo ya nchi za nje.

Lipo tatizo?
Ndiyo, haiwezekani miongoni mkubwa wa nchi kama Uswis anakuja na kuondoka kimya kimya ndani ya nchi kama Tanzania bila kubadilishana walau mawazo mawili ma tatu na rais mwenzake ili kutengeneza fursa mbalimbali. Kuna tofauti kubwa kati ya rais na mawaziri na ndiyo maana tukasema "Nchi iwe na rais kama kiongozi mkuu" Huyu popote pale atakapoongea ujumbe wake utakuwa tofauti sana na walio chini yake.

Hii tabia ya Rais Magufuli kukwepa kwepa viongozi mbalimbali wenye ushawishi duniani inatupelekea ujumbe kuwa pengine hatuna mtu wa aina ya wenzake huko duniani katika kiti hicho. Anakuja rais wa Uswis tunakwepa kwepa kuonana naye kisha anakuja rais wa Ethiopia huyo tunamuomba hadi mikopo. Zaidi amekuja kwenye huo utalii hata waizir mwenyewe mwenye dhamana ya huo utalii hakutaka kubadilishana naye mawazo na kupata fursa zaidi. Yupo huko anajiita "Mzee wa pori kwa pori" Anafanya ziara ambazo kama waziri hazina maana wala ufanisi wowote ule kwenye kuendeleza sekta hii muhimu nchini.

Tusijidanganye! Bado sisi ni nchi changa tena sana! Tuachane na zile tambo za kanda ya ziwa.
yet another rubbish of an idiot to say the least
 
Basi shauri na ikulu nayo ihamishiwe Ngorongoro au Gombe,ili kila kiongozi wa 'kizungu'hata awe wa ngazi ya udiwani awe anabadilishana mawazo na raisi wetu mpendwa,,..na muombeeni dua "mzee wa pori kwa pori" akurupuliwe na chatu ili arudi ofisini..ili kwamba mfulahi.
 
Last edited:
Siasa zimeharibu akili za vijana wa taifa hili!!!....hata wanashindwa kuchanganua mambo madogo tu yanayoizunguka jamii yao!!!

Tatizo la kila jambo kulinasibisha au kulitazama kisiasa ndilo linaloleta mkwamo kwenye taifa hili!!!!

Ina maana kiongozi wa taifa lingine hawezi kuja kula likizo yake kwenye nchi yetu ni lazima aonane na kiongozi wetu
 
Rais wa Uswis ndugu Alain Berset amekaa nchini Tanzania kwa takribani wiki mbili na kuondoka bila kuonana na Rais mwenzake ndugu John Pombe Magufuli. Alipokewa KIA na waziri mkuu na kuagwa na waziri wa mambo ya nchi za nje.

Lipo tatizo?
Ndiyo, haiwezekani miongoni mkubwa wa nchi kama Uswis anakuja na kuondoka kimya kimya ndani ya nchi kama Tanzania bila kubadilishana walau mawazo mawili ma tatu na rais mwenzake ili kutengeneza fursa mbalimbali. Kuna tofauti kubwa kati ya rais na mawaziri na ndiyo maana tukasema "Nchi iwe na rais kama kiongozi mkuu" Huyu popote pale atakapoongea ujumbe wake utakuwa tofauti sana na walio chini yake.

Hii tabia ya Rais Magufuli kukwepa kwepa viongozi mbalimbali wenye ushawishi duniani inatupelekea ujumbe kuwa pengine hatuna mtu wa aina ya wenzake huko duniani katika kiti hicho. Anakuja rais wa Uswis tunakwepa kwepa kuonana naye kisha anakuja rais wa Ethiopia huyo tunamuomba hadi mikopo. Zaidi amekuja kwenye huo utalii hata waizir mwenyewe mwenye dhamana ya huo utalii hakutaka kubadilishana naye mawazo na kupata fursa zaidi. Yupo huko anajiita "Mzee wa pori kwa pori" Anafanya ziara ambazo kama waziri hazina maana wala ufanisi wowote ule kwenye kuendeleza sekta hii muhimu nchini.

Tusijidanganye! Bado sisi ni nchi changa tena sana! Tuachane na zile tambo za kanda ya ziwa.

G Sam, jitahidi sana ili usiandike vitu kwa kukurupuka. Kama hujui kaa kimya badala ya kujiabisha kama ulivyofanya kwenye huu uzi?
 
Rais wa Uswis ndugu Alain Berset amekaa nchini Tanzania kwa takribani wiki mbili na kuondoka bila kuonana na Rais mwenzake ndugu John Pombe Magufuli. Alipokewa KIA na waziri mkuu na kuagwa na waziri wa mambo ya nchi za nje.

Lipo tatizo?
Ndiyo, haiwezekani miongoni mkubwa wa nchi kama Uswis anakuja na kuondoka kimya kimya ndani ya nchi kama Tanzania bila kubadilishana walau mawazo mawili ma tatu na rais mwenzake ili kutengeneza fursa mbalimbali. Kuna tofauti kubwa kati ya rais na mawaziri na ndiyo maana tukasema "Nchi iwe na rais kama kiongozi mkuu" Huyu popote pale atakapoongea ujumbe wake utakuwa tofauti sana na walio chini yake.

Hii tabia ya Rais Magufuli kukwepa kwepa viongozi mbalimbali wenye ushawishi duniani inatupelekea ujumbe kuwa pengine hatuna mtu wa aina ya wenzake huko duniani katika kiti hicho. Anakuja rais wa Uswis tunakwepa kwepa kuonana naye kisha anakuja rais wa Ethiopia huyo tunamuomba hadi mikopo. Zaidi amekuja kwenye huo utalii hata waizir mwenyewe mwenye dhamana ya huo utalii hakutaka kubadilishana naye mawazo na kupata fursa zaidi. Yupo huko anajiita "Mzee wa pori kwa pori" Anafanya ziara ambazo kama waziri hazina maana wala ufanisi wowote ule kwenye kuendeleza sekta hii muhimu nchini.

Tusijidanganye! Bado sisi ni nchi changa tena sana! Tuachane na zile tambo za kanda ya ziwa.
waziri wa utalii anatumia fursa aliyopewa kutalii mbuga zote, yaan ameamua kutumia fursa vema...

isije baki stor kwamba alikuwa wazir alafu ajawah kutalii nchii vema
 
Siasa zimeharibu akili za vijana wa taifa hili!!!....hata wanashindwa kuchanganua mambo madogo tu yanayoizunguka jamii yao!!!

Tatizo la kila jambo kulinasibisha au kulitazama kisiasa ndilo linaloleta mkwamo kwenye taifa hili!!!!

Ina maana kiongozi wa taifa lingine hawezi kuja kula likizo yake kwenye nchi yetu ni lazima aonane na kiongozi wetu

Acheni kuwafanya Watz hawana akili bhana...!!
Kwanini hamtaki kukubali kwamba Rais na Mwenyekiti wenu JPM hana hadhi na viwango vya kukutana na Viongozi wenzake hasa wanaotoka nchi za Uropa, Asia na Merekani? JPM anadai hataki kwenda nje kwa vile ati ANAINYOSHA NCHI.......Lakini cha ajabu hata hao Viongozi TOKA NJE WAKIJA HAPA TZ mkulu anajifungia Ikulu ndani kwasababu zisizo na mashiko!!!...!!!Hapa ndipo kwenye tatizo na penye jibu..............Ukweli ni kwamba JPM anaogopa kuwa-face Viongozi wenzake kwa vile LUGHA YA MALKIA NI SHIDA....! Obama wa USA alikuja kakaa siku 8 JPM akamkimbia...kaja huyu wa USWISI kakaa 14 days jamaa anajifanya yuko bizz Magogoni........!!!
 
Last edited by a moderator:
Siasa zimeharibu akili za vijana wa taifa hili!!!....hata wanashindwa kuchanganua mambo madogo tu yanayoizunguka jamii yao!!!

Tatizo la kila jambo kulinasibisha au kulitazama kisiasa ndilo linaloleta mkwamo kwenye taifa hili!!!!

Ina maana kiongozi wa taifa lingine hawezi kuja kula likizo yake kwenye nchi yetu ni lazima aonane na kiongozi wetu
Wavaa magwanda hawajielewi. Wanataka kila mgeni tumpapatikie.
 
Rais wa Uswis ndugu Alain Berset amekaa nchini Tanzania kwa takribani wiki mbili na kuondoka bila kuonana na Rais mwenzake ndugu John Pombe Magufuli. Alipokewa KIA na waziri mkuu na kuagwa na waziri wa mambo ya nchi za nje.

Lipo tatizo?
Ndiyo, haiwezekani miongoni mkubwa wa nchi kama Uswis anakuja na kuondoka kimya kimya ndani ya nchi kama Tanzania bila kubadilishana walau mawazo mawili ma tatu na rais mwenzake ili kutengeneza fursa mbalimbali. Kuna tofauti kubwa kati ya rais na mawaziri na ndiyo maana tukasema "Nchi iwe na rais kama kiongozi mkuu" Huyu popote pale atakapoongea ujumbe wake utakuwa tofauti sana na walio chini yake.

Hii tabia ya Rais Magufuli kukwepa kwepa viongozi mbalimbali wenye ushawishi duniani inatupelekea ujumbe kuwa pengine hatuna mtu wa aina ya wenzake huko duniani katika kiti hicho. Anakuja rais wa Uswis tunakwepa kwepa kuonana naye kisha anakuja rais wa Ethiopia huyo tunamuomba hadi mikopo. Zaidi amekuja kwenye huo utalii hata waizir mwenyewe mwenye dhamana ya huo utalii hakutaka kubadilishana naye mawazo na kupata fursa zaidi. Yupo huko anajiita "Mzee wa pori kwa pori" Anafanya ziara ambazo kama waziri hazina maana wala ufanisi wowote ule kwenye kuendeleza sekta hii muhimu nchini.

Tusijidanganye! Bado sisi ni nchi changa tena sana! Tuachane na zile tambo za kanda ya ziwa.
hata kama ni upinzani sasa nikujitweza ujinga sasa hii ni hoja gani? mtu amekuja kwa mapumziko kuona na rais wap na wap?
 
Maficccm acheni kuwafanya Watz hawana akili bhana...!!
Kwanini hamtaki kukubali kwamba Rais na Mwenyekiti wenu JPM hana hadhi na viwango vya kukutana na Viongozi wenzake hasa wanaotoka nchi za Uropa, Asia na Merekani? JPM anadai hataki kwenda nje kwa vile ati ANAINYOSHA NCHI.......Lakini cha ajabu hata hao Viongozi TOKA NJE WAKIJA HAPA TZ mkulu anajifungia Ikulu ndani kwasababu zisizo na mashiko!!!...!!!Hapa ndipo kwenye tatizo na penye jibu..............Ukweli ni kwamba JPM anaogopa kuwa-face Viongozi wenzake kwa vile LUGHA YA MALKIA NI SHIDA....! Obama wa USA alikuja kakaa siku 8 JPM akamkimbia...kaja huyu wa USWISI kakaa 14 days jamaa anajifanya yuko bizz Magogoni........!!!
Acha upuuzi mkuu. Hao jamaa wa ACACIA waliokuja na kukaa mwezi mzima aliongea nao kwa kigogo au kisukuma!!.

Yule waziri wa Uingereza aliongea nae kwa kingoni!!. Punguzeni masihara ya kitoto.
 
Kila kiongozi mkuu anayo ratiba yake. Kukutana kwa marais wawili sio sawa na Mashinji kukutana na Mrema au Mbowe.

Ratiba ya rais sio sawa na ile ya mtendaji wa mtaa au ile ya mlevi fulani wa mtaani. Hawa ni watu ambao kila wanachokifanya ni gharama kwa walipa kodi.
 
Back
Top Bottom