nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 938
Kwa upande wangu nimeelewa kitendo bila kuchelewa "decision making style",
Atapelelezwa uraia sasa hivi.
Hata kama Mhadzabe.
AnamaanishaKwa upande wangu nimeelewa kitendo bila kuchelewa "decision making style",
View attachment 814054
You are in right track!.....Mkuu umemaliza kila kitu!Anamaanisha
1.Jiwe anafanya maamuzi yote ni mbinafsi
2. Anajikuta anajua kumbe hajui
3.anafanya maamuzi ya sifa
4.ni mkurupukaji
amempatia kweliKwa upande wangu nimeelewa kitendo bila kuchelewa "decision making style",
View attachment 814054
Watamteka tena na hivi bashite keshaomba go ahed yakuwashughurikia wakosoaji wa baba yake nabii.
Daaah Kitambo Sana Straika wa Singida Utd enzi izoKIPANYA MALAPA
hahaaaa "" trueAnamaanisha
1.Jiwe anafanya maamuzi yote ni mbinafsi
2. Anajikuta anajua kumbe hajui
3.anafanya maamuzi ya sifa
4.ni mkurupukaji
P mayalla kishapita kipindi cha maangalizi saivi yupo huru kupost na kushiriki mijadala.Sasa hivi atapigwa kufuli
Mkuu wangu P Mayalla teyari