Recent content by Stamina

  1. Stamina

    ICC mbona wanachelewa sana?

    Rais wa philipines, duterte walimgonjea mpaka akamaliza term yake ya urais ndipo wakamdaka na kumpeleka icc
  2. Stamina

    Clemence Mwandambo: Wanaosema 'Samia Must Go', tunamuweka nani pale?

    Doto biteko, majaliwa kassim majaliwa, hussen ali mwinyi, george simbachawene, Hawa ni watu wasafi na wazalendo, hawana harufu ya ufisadi wala uchawa. Naamini watanzania wanahitaji sana watu kama hawa!
  3. Stamina

    Afadhali ya Magufuli

    Magufuli ndiye alianzisha?! Umesahau ya Dokta Ulimboka alipo amasisha mgomo wa Madaktari?! Alivyotekwa , kuteswa na kung'olewa kucha na meno bila ganzi?! Akaenda kutupwa msitu wa Mabwepande enzi za Jakaya Kikwete!! Au ulikuwa bado haujazaliwa dogo?!
  4. Stamina

    Usimueleze mtu mipango yako na mafanikio yako

    Facts tupu! Hii imenikuta sana! Hasa jamii zetu hizi za kiafrika!! Tumejaa wivu, kijicho, roho mbaya, majungu na unafiki, hatutaki maendeleo ya wengine, mwenzako akifanikiwa kidogo tu kosa! Roho inakunyongorota mpaka unapata kiungulia. Kuanzia majumbani, maofisini watu wanapigana majungu...
  5. Stamina

    KERO Kwanini Dar na Pwani hakuna suluhu ya kudumu ya maji safi? Miaka yote visingizio ni "Uhaba wa Mvua Ruvu"

    Tatizo la maji Dar es salaam halijaanza leo wala jana. ni tatizo linalojirudia rudia mara kwa mara, na hakuna hatua mujarabu inayochukuliwa kama mwarobaini wa kukomesha kabisa na kutokomeza janga hili. kama tatizo ni kupungua mto Ruvu mara kwa mara kutokana na mabadiriko ya tabia nchi, kwanini...
  6. Stamina

    Naombeni VPN za uhakika

    Mtandao ukizimwa vpn haifanyikazi, labda wazime/ wafungie apps, kama x, insta, whatsapp, tiktok etc hapo utaweza kuzipata via vpn, lakin wakizima mtandao wote kwa jumla hakuna vpn wala ATM, wala huduma yoyote ya kibenk itakayokuwa inafanyakazi.
  7. Stamina

    Matatizo ya simu nyingi za Oppo, Redme na Vivo ni mafamba!!

    Mkuu vipi kuhusu simu aina ya realme note 50,
  8. Stamina

    Hizi ndio wizara ngumu ambazo zinahitaji mtu aina ya Magufuli kuziongoza

    Tatizo lipo juu! Kama kichwa ni kibovu, mwili wote utakuwa mbovu, Mawaziri watapambanaje na walaji wakati ni wakubwa wao?! Kauli mbiu yetu ni KAZI NA UTU ndio UTU wenyewe huo! wakipambana nao wataambiwa hawana UTU ni makatili kama mwendazake! au wanafukuza na kubughudhi wawekezaji...
  9. Stamina

    Mke wangu anachelewa sana kurudi nyumbani anasema akitoka kazini anaenda kwenye maombi

    Zingatia "ndoa ina miaka 2 tu!" Jamaa bado "learner" tusimlaumu sana! Asaidiwe...¡!
  10. Stamina

    Sababu alizozitoa Rais Samia kuhusu kubadilisha Baraza la Mawaziri, hazikuwa za kweli?

    Tatizo ana panic sana,,, apunguze kuongea labda atakuwa na logic
  11. Stamina

    Kuna familia zina laana ya asili

    Kila kabila lina mila zake na matambiko yake sio wachagga tu.
  12. Stamina

    Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

    Wewe ni mpuuzi, huna ukijuacho, avatar yako tu inaonyesha unachowaza kichwani kikoje. Usifananishe ardhi na financial institutions. Dawa ya mpuuzi ni kumpuuza!
  13. Stamina

    Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

    Wao waendelee kuua vikongwe wao na kufanya uchawi labda wataendelea. Habari za kimei hawezi kufikia akili yake hata robo. Kimei kawazidi akili sana kama mbingu na ardhi ndio maana hawezi kumwelewa kamwe.
Back
Top Bottom