Msaada tutani,
Napenda kazi ya kupiga picha. Je, ni vifaa gani muhimu natakiwa kuwa navyo kwa kuanza?
Je, nitumie camera aina gani yenye specification zipi ili niweze pata picha nzuri, nimeshawahi fanya kazi hii nilipokua shule nilitumia digital camera (sony)..
Kwasasa nataka niboreshe...
hivi kwanini vijana wengi hatutumii hizi fursa za scholarship ili kujiendeleza kielimu,tunafeli wapi vijana? wengi wetu tuna mtizamo hasi kuhusu hizi nafasi za ufadhili. shida iko wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.