Gharama za UFUNDI wa kuweka marumaru.

Gharama za UFUNDI wa kuweka marumaru.

Gharama zinategemea na ukubwa wa tiles kwani mafundi wengi wanacharge per pc kama ifuatavyo; 25×25 = 600/- --30×40=700/- -45×45=800/- vipimo ni ukubwa wa Tiles kwa Sentimita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tiles kwa kiswahili ni nini, na marumaru kwa kiingereza nadhani ni marble, ukija hapa na wewe fafanua. Sio unatupa homework.
Tumemjibu mtoa mada amesema marumaru ni tiles, tukamuelewa.
Haya lete ubishi basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Marumaru ni mchanganyike wa kokoto za mawe yanayong'aa huwekwa kama sakafu zikichanganywa kwa umaridadi na rangi mbalimbali baadaye husuguliwa mpaka zikawa "smooth". Marble ni aina ya tile zilitokana na miamba; hutumika zaidi jikoni
 
Back
Top Bottom