Recent content by st44273

  1. S

    Leo nimeokoka na kumkabidhi Yesu maisha yangu

    Umechagua fungi jema,wewe uwe mwaminifu na mtulivu katika Kristo naye atakutunza salama, hatakuacha daima.
  2. S

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Mkuu samahani kama nimekukwaza, lakini kutoa tu support kujenga nyumba ya Bwana kunamzuiaje mtu kutubu dhambi zake (kama anazo)? Tafadhali hata wasiomjua Mungu wanaweza kutumiwa kujenga ufalme, karibu na wewe mkuu wangu tusaidiane kuujenga ufalme.
  3. S

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Mh Mwigulu heshima kwako mkuu, Mimi ni mwananchi na mpiga kura wako. Ninafarijika sana kukuona hapa jukwaani, hakika tulio wengi tuna imani na wewe. Mh naomba nitumie fursa hii kukukumbusha,mimi ni mshirika wa kanisa la FPCT Kiomboi karibu na idara ya maji mtaa wa lulumba kwa mchj Lazaro...
  4. S

    Hizi ndio fursa 150 ambazo unaweza kuingiza kipato

    Huwa zinatumia betri ya kuchaji.
  5. S

    Uhamiaji Badilikeni: Acheni kufanya kazi kwa mazoea

    Naunga mkono hoja,hivi inaingia akilini mtu unaenda ku renew passport ambayo umekaa nayo miaka nenda rudi,una national id bado unawekewa mizengwe mara oh we will mtanzania,mara uje na invitation letter na visababu vingi tu ambavyo havina msingi wowote. Ingekuwa vizuri utoaji wa passport...
  6. S

    Muhimbili kuna utaalamu, dawa na vifaa tiba vya kutosha? Mbona majeruhi wengi wa moto wa lori la mafuta wanafariki?

    % ya burn kwa wengi ilikuwa zaidi ya 50 which is fatal. Lakini pia wengi wali inhale moto/smoke kwahiyo wanapata pulmonary complications which means chance ya kuishi ni kidogo sana.
  7. S

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Fatilia rafiki, mimi mke wangu (mwalimu) barua yake ya uhamisho imetoka wiki iliyopita.
Back
Top Bottom