Wakati jamii nyingine zinahaha kutengeneza Family owned business empires sisi ngozi nyeusi ndio tunakazana kuchukia na na kutengana ikiwemo kubaguana.. Kweli aliyeturoga kafa..
Hawa jamaa wananifurahisha sana. Ukiwakuta pale Mbezi wao huwa wanasimama kwenye mstari ulionyooka wakisubiri daladala za kwenda kwao.. Hata kama hakuna daladala ila wao lazima wasimame katika msitari. Siku ya kwanza nilipowaona nilidhani wamerogwa.. Maana si tabia za watu wa Dar hizi..
Asanteni sana kwa mawazo yenu mazuri .. Nimemuonyesha uzi huu muhanga wa kunyimwa.. Alipoenda kwa mkewe amenipigia simu mkewe ameomba apangiwe ratiba ya tendo hilo ambayo ameahidi kuitimiza.. Hata sijui muhanga wetu ametumia ushauri wa nani ila asanteni wote kwa mawazo yenu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.