Mimi nachoona ni kwamba hawa wadada huwa wana agenda zao zingine wanazozijua wenyewe.
Lakini all in all kwa sasa hii hali ya kwamba kila mtu anaweza kusimama akaongea tu na watu. Aisee hapana. Mimi naona ni bora kungekuwa na namna ya ku monitor hii hali.
Ila kama hii ni kweli basi nadhani Iran hii vita waiangalie kwa jicho lingine. Hasara waliyopata ni kubwa sana. Wamepoteza watu wa maana sana. Yaani ni kama jama hamna maana tena.
Ila sasa kuliko ukalipwe elfu nne kwa siku,,, Mbona kuna kazi nyingi tu za kufanya kama mtu una nguvu na afya.... Kuna vibarua vya saidia fundi, Kuna Biashara nyingi kama kutembeza matunda, umachinga vyote hivi vinalipa sana na Havitaki hata mtaji mkubwa. Ukiwa na elfu 20 tu unaanza biashara na...
MKuu kwani wewe huko unapofanyakazi hawakutumii?? Au hapo ulipojiajiri mwenyewe hiyo ajira haikutumii.. Ukiona umeajiriwa popote pale, Kua kwamba wewe ndio Fursa, Na ndio maana unalipwa
Habari za muda huu wadau,
Leo nilikuwa na safari fulani hivyo ikanibidi kupanda daladala kwa umbali mrefu kidogo, Kutoka tegeta mpaka Mbagala.
Baada ya kupanda daladala nikiri kwamba nimeshuhudia na kujifunza mambo mengi sana, Kwanzia msongamano, Kugombania na pia kukutana na watu mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.