Kwani Iran ana shida gani na UAE? Maana ukilinganisha makombora yaliyorushwa kwanzia Vita vimeanza mengi ni yameenda UAE kutokea IRAN. yaani hata ISRAEL hajapigwa makombora mengi kama yaliyopigwa IRAN
Naunga mkono mleta mada,
Ni kweli Kabisa, Hata kama tunamchukia Israel na Marekani. Ila ni lazima tuutambue mchango wao kwenye kupambana na Magaidi na Vikundi vyenye siasa kali ambavyo ni Hatari kwetu sote kama vikiachwa... Maana kwa kupambana navyo kunatuweka walimwengu salama.
Ukitaka kujua...
Mkuu Ni Idea nzuri.
Ila nadhani unatakiwa kuchagua vinywaji ambavyo havipo hapa Tanzania kwa sasa. Kwa sababu vinyaji unavyoona ambavyo ni Imported kuna watu wame monopolise vibali vya kuleta hapa nchini. Au labda niseme kuna authorised dealers wa vinywaji hivyo.. Kwa mfano kinywaji kama...
Mkuu nakushauri ungeemda kwenye Hii mikutano ya Mheshimiwa Waziri Mkuu. Naona watu wakitoa kero zao na wanapata majibu. Hao wanaotakiwa kukulipa wangeulizwa hapohapo ungepata majibu na wewe.
Ila pole sana. Haya mambo ya tenda nayajua , Yalinitoa mchezoni wakati fulani
Wapo wengi sana. Kwanza kumbuka hii Internet haijasambaa huko mikoani kama unavyoona kwenye majiji makubwa au mijini kama Dar, mwnza, Arusha na kwingine. So hii nchi ni kubwa sana na bado watu wengi wanatumia vingamuzi na wanavipenda kweli kweli. Na biashara ya PayTV inalipa sana kwa kweli
Habari Mkuu,
NAdhani wadau wengi hupata API kupitia ambao wanazo moja kwa moja kama Vile Mabenki makubwa au Fintech kama Selcom. Kwa selcom unapata fasta tu, Kwa maelezo zaidi unaweza niuliza, Ila kwa mabenki makubwa utachelewa sana.
Ila kupata ya moja kwa moja kutoka TANESCO, Hii sasa sijui...
Haya mambo yanachanganya sana kwa kweli.
Ila nadhani mngekaa chini kama wazazi muongee yaishe for the sake of Kids.
Mimi pia nina mwenzangu Tumeshindwa kabisa kukaa chini kuongea, So tupo kwenye mkwamo mwaka wa Tano Huu
Sikushauri na ww ufike huku kwa ajili ya misimamo ya kijinga
Kaa chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.