Recent content by srinavas

  1. srinavas

    Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    Niliona sehemu huyu mwanamke ni Witch Doctor. So inawezekana
  2. srinavas

    Trend mpya Instagram: Wadada wengi wa mjini wamegeuka washauri wa maisha wakiwa ndani ya magari yao wakirekodi video

    Mimi nachoona ni kwamba hawa wadada huwa wana agenda zao zingine wanazozijua wenyewe. Lakini all in all kwa sasa hii hali ya kwamba kila mtu anaweza kusimama akaongea tu na watu. Aisee hapana. Mimi naona ni bora kungekuwa na namna ya ku monitor hii hali.
  3. srinavas

    Naenda na January Makamba Urais 20301

    Mapema sana wakuu
  4. srinavas

    Mkwara wa Ali Rajinani kwa Trump na Netanyahu

    Ila kama hii ni kweli basi nadhani Iran hii vita waiangalie kwa jicho lingine. Hasara waliyopata ni kubwa sana. Wamepoteza watu wa maana sana. Yaani ni kama jama hamna maana tena.
  5. srinavas

    Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    Hivi huwa hamna utaratibu wa kuwapatia incentive makampuni yenye maslahi makubwa kama haya??
  6. srinavas

    Trump ndio anaomba mazungumzo sio Iran

    Ila huu ushabiki Sijui huwa unawasaidia nini aisee...
  7. srinavas

    Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    Mkuu kama ulituma pesa mwenyewe ukaweka na password mkiwa chumbani. Aisee nadhani hapo makosa ni yakwako
  8. srinavas

    Forodhani Zanzibar pachafu

    Hiyo nadhani ni Najhari yenyewe inafanya yake. Hakuna wa kulaumu
  9. srinavas

    Kazi za viwandani sio kazi, ni zaidi ya mateso

    Ila sasa kuliko ukalipwe elfu nne kwa siku,,, Mbona kuna kazi nyingi tu za kufanya kama mtu una nguvu na afya.... Kuna vibarua vya saidia fundi, Kuna Biashara nyingi kama kutembeza matunda, umachinga vyote hivi vinalipa sana na Havitaki hata mtaji mkubwa. Ukiwa na elfu 20 tu unaanza biashara na...
  10. srinavas

    Tunaendelea kushuhudia vituko dunia, tusaidiane kucheka katika hili

    Kwa kweli sodhani kama NATO wana lolote la kufanya
  11. srinavas

    Polisi wa Tanzania waanza kuvunja nyumba za Wakimbizi katika Kambi za Nduta na Nyarugusu ikidaiwa ni 'kurudisha wakimbizi kwao kwa hiari'

    Burundi sijui kama kuna vita yoyote kwa kweli. Sijasikia popote Hawa wakimbizi kwanini hawataki kurudi kwao? Au wamenogewa
  12. srinavas

    NAFASI ZA KAZI YAS - DIRECT SALES AGENTS

    MKuu kwani wewe huko unapofanyakazi hawakutumii?? Au hapo ulipojiajiri mwenyewe hiyo ajira haikutumii.. Ukiona umeajiriwa popote pale, Kua kwamba wewe ndio Fursa, Na ndio maana unalipwa
  13. srinavas

    DOKEZO Redio zilitangaza umbeya muda mwingi kulenga Wanawake walio nyumbani, sasa hivi ni Mpira tu, je Wanaume ndio wapo nyumbani au hawana kazi?

    Habari za muda huu wadau, Leo nilikuwa na safari fulani hivyo ikanibidi kupanda daladala kwa umbali mrefu kidogo, Kutoka tegeta mpaka Mbagala. Baada ya kupanda daladala nikiri kwamba nimeshuhudia na kujifunza mambo mengi sana, Kwanzia msongamano, Kugombania na pia kukutana na watu mbalimbali...
Back
Top Bottom