Recent content by srinavas

  1. srinavas

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Mimi nikajua unamuongelea yule demu wa mtandoani anaitwa petra
  2. srinavas

    JamiiForums Tanzania KWA MAHITAJI YA SUB-METER KATA UMEME PITIA HAPA

    Ndio mkuu ila haishauriwi sana, kwa sababu ambaye anatumia kutoka mita kuu atakuwa hana limit. Kwa maelezo zaidi nipigie
  3. srinavas

    JamiiForums Tanzania Iran YAISHAMBULIA kwa makombora Umoja wa Falme za Kiarabu muda huu

    Kwani Iran ana shida gani na UAE? Maana ukilinganisha makombora yaliyorushwa kwanzia Vita vimeanza mengi ni yameenda UAE kutokea IRAN. yaani hata ISRAEL hajapigwa makombora mengi kama yaliyopigwa IRAN
  4. srinavas

    JamiiForums Tanzania Ni aibu sana unakuta mkristo anaikandia Israel na US. Mabavu yao ndio ishara ya amani yako, hivi unadhania hawa radicals wanafurahia imani yako?

    Naunga mkono mleta mada, Ni kweli Kabisa, Hata kama tunamchukia Israel na Marekani. Ila ni lazima tuutambue mchango wao kwenye kupambana na Magaidi na Vikundi vyenye siasa kali ambavyo ni Hatari kwetu sote kama vikiachwa... Maana kwa kupambana navyo kunatuweka walimwengu salama. Ukitaka kujua...
  5. srinavas

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    01:12
  6. srinavas

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vinywaji vikali

    Mkuu Ni Idea nzuri. Ila nadhani unatakiwa kuchagua vinywaji ambavyo havipo hapa Tanzania kwa sasa. Kwa sababu vinyaji unavyoona ambavyo ni Imported kuna watu wame monopolise vibali vya kuleta hapa nchini. Au labda niseme kuna authorised dealers wa vinywaji hivyo.. Kwa mfano kinywaji kama...
  7. srinavas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mume wangu hajitumi. Anaweza kulala siku nzima nyumbani na akaona ni sawa tu

    Hamna mume hapo. Tafuta mwanahme mwingine maisha yaendelee. Hapo hamna maisha wala future
  8. srinavas

    JamiiForums Tanzania KERO Uchafu huu Stendi ya Makumbusho ni hatari kwa afya za watu

    Na pia niliwahi kuona mama ntilie wanamwaga maji machafu kwenye hiyo mitaro
  9. srinavas

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Wilaya ya Nanyumbu haitaki kunilipa fedha nilizowauzia milango katika Shule ya Mkapa Girls

    Mkuu nakushauri ungeemda kwenye Hii mikutano ya Mheshimiwa Waziri Mkuu. Naona watu wakitoa kero zao na wanapata majibu. Hao wanaotakiwa kukulipa wangeulizwa hapohapo ungepata majibu na wewe. Ila pole sana. Haya mambo ya tenda nayajua , Yalinitoa mchezoni wakati fulani
  10. srinavas

    JamiiForums Tanzania Hivi jamani kuna watu bado wanatumia decoders kuangalia vipindi?

    Wapo wengi sana. Kwanza kumbuka hii Internet haijasambaa huko mikoani kama unavyoona kwenye majiji makubwa au mijini kama Dar, mwnza, Arusha na kwingine. So hii nchi ni kubwa sana na bado watu wengi wanatumia vingamuzi na wanavipenda kweli kweli. Na biashara ya PayTV inalipa sana kwa kweli
  11. srinavas

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue kampuni itayohusika na kununulia wateja umeme kutoka TANESCO

    Habari Mkuu, NAdhani wadau wengi hupata API kupitia ambao wanazo moja kwa moja kama Vile Mabenki makubwa au Fintech kama Selcom. Kwa selcom unapata fasta tu, Kwa maelezo zaidi unaweza niuliza, Ila kwa mabenki makubwa utachelewa sana. Ila kupata ya moja kwa moja kutoka TANESCO, Hii sasa sijui...
  12. srinavas

    JamiiForums Tanzania Akamatwa kwa kujenga mahandaki sita bila kibali Mwanza

    Duh! Jamaa alikuwa na mpango gani kujenga mahandaki?
  13. srinavas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Haya mambo yanachanganya sana kwa kweli. Ila nadhani mngekaa chini kama wazazi muongee yaishe for the sake of Kids. Mimi pia nina mwenzangu Tumeshindwa kabisa kukaa chini kuongea, So tupo kwenye mkwamo mwaka wa Tano Huu Sikushauri na ww ufike huku kwa ajili ya misimamo ya kijinga Kaa chini...
  14. srinavas

    JamiiForums Tanzania Watumishi sita MSD kortini wakidaiwa kuiba, kusababisha hasara Tsh. Bilioni 14

    Hapa ndio muda unawaonea huruma watumishi. Pole sana kwao
  15. srinavas

    JamiiForums Tanzania Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    Niliona sehemu huyu mwanamke ni Witch Doctor. So inawezekana
Back
Top Bottom