Wapo wengi tu labda nikupe wachache
Kuna Juma aweso nadhani ni mtu yupo anafanya kazi zake na sijawahi kusikia kashfa wala chuki kali dhidi yake (Unless mimi sina taarifa tu)
Kuna Antony Mtaka (Huyu sina haja ya kumuelezea sana)
Wapo wengi tu wakuu. Ila Tatizo tukiwataja wengine hapa...
Mkuu , Mimi kwa ushauri wangu ungeangalia namna au uwezekano wa kumpeleka India hata kwa kufanya kuchangisha pesa kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki, Maana watu wengi naona wameenda huko na wamerudi na matokeo mazuri,, kwa hospitali ulizozitajja kwa hapa bongo ni kubwa sana na sijui kama kuna...
mtu amekuja hapa kuomba msaada ila naona watu wengi wanaleta masihara na kebehi.. Hembu wacheni masihara nyie vijana na kama mtu huna jambo zuri la kusema ni vema ukakaa kimya
na vipi viwanja vyenye majina ya viongozi kwa mfano hiki chetu cha benjamin mkapa stadium, je kwa mfano fifa ingechezwa hapa wangebadilisha jina au ni majina ya kibiashara tu
hivi mkuu Masokotz ,
Kwa uzoefu wako hapa bongo haya mambo ya hisa yanaweza kumtoa mtu?? maana kwa sasa wameibuka waalimu wengi mitandaoni wa maswala haya ya hisa wakitoa elimu namna ya uwekezaji ila wanataka kulipwa wao ili waweze kuitoa elimu hiyo.. Je, Unaweza kuwa na mifano au experiance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.