Recent content by srinavas

  1. srinavas

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Mimi pia naona kuna vijana wengi sana wanakuja Inbox wanakusalimia then wanakuomba pesa
  2. srinavas

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Hivi sio wewe kweli umekuja inbox kwangu muda si mrefu
  3. srinavas

    JamiiForums Tanzania Siku Moja nilienda hospital ya Muhimbili nikasema nataka nipimwe mwili mzima, nikaulizwa Bro umeuza ng'ombe?

    Mwana kuyatafuta mwana kuyapata.. Utajikuta unauza mpaka nyumba. Mambo ya afya sio ya mchezo
  4. srinavas

    JamiiForums Tanzania Familia ziwe macho na vijana wao, ndugu kutafunana imezidi

    Bunamu kumtafuna mbona ni kawaida. Chukua muda wako nenda kafatilie Dini moja hivi , Utakuta mabinamu walitafunana sana huko
  5. srinavas

    JamiiForums Tanzania Ni mtu gani anayekubalika na mwenye mvuto kwa watu ambaye anapendwa na anakubalika kwa watanzania ndani ya chama cha Mapinduzi?

    Wapo wengi tu labda nikupe wachache Kuna Juma aweso nadhani ni mtu yupo anafanya kazi zake na sijawahi kusikia kashfa wala chuki kali dhidi yake (Unless mimi sina taarifa tu) Kuna Antony Mtaka (Huyu sina haja ya kumuelezea sana) Wapo wengi tu wakuu. Ila Tatizo tukiwataja wengine hapa...
  6. srinavas

    JamiiForums Tanzania Vyote ninavyokumbuka naweka hapa kumbukumbu zote

    Mkuu ulikula Tunda kimasihara sana aisee
  7. srinavas

    JamiiForums Tanzania Vyote ninavyokumbuka naweka hapa kumbukumbu zote

    Baada ya muda tutaweka mkeka hapa tukupe hata simu ya samsungu mkopo
  8. srinavas

    JamiiForums Tanzania Vyote ninavyokumbuka naweka hapa kumbukumbu zote

    Sasa Mkuu unachelewa sana au uweke Voice note tu
  9. srinavas

    JamiiForums Tanzania Je, Naweza Kufungua Madai ya NSSF Online Bila Kufika Ofisini Kwao na Yakakubaliwa?

    Mkuu vipi umeshafanikiwa? au bado upo kwenye foleni
  10. srinavas

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Mkuu , Mimi kwa ushauri wangu ungeangalia namna au uwezekano wa kumpeleka India hata kwa kufanya kuchangisha pesa kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki, Maana watu wengi naona wameenda huko na wamerudi na matokeo mazuri,, kwa hospitali ulizozitajja kwa hapa bongo ni kubwa sana na sijui kama kuna...
  11. srinavas

    JamiiForums Tanzania Gershon Msigwa ajitetea, niliposema 'ukivujisha nyaraka za serikali utaokotwa' nilikuwa natekeleza wajibu wangu

    wakuu na wataalamu wa sheria tunaomba tafsiri tafadhali.. Mimi mambo ya sheria sijasomea so siwezi kuelewa kitu kwenye hiyo nukuu ya sheria
  12. srinavas

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri na Msaada Kuhusu OCD Inayonitesa Kila Siku

    mtu amekuja hapa kuomba msaada ila naona watu wengi wanaleta masihara na kebehi.. Hembu wacheni masihara nyie vijana na kama mtu huna jambo zuri la kusema ni vema ukakaa kimya
  13. srinavas

    JamiiForums Tanzania Sababu ya Viwanja vya Kombe la Dunia 2026 kuzibwa/kubadilishwa Majina (logo) yao

    na vipi viwanja vyenye majina ya viongozi kwa mfano hiki chetu cha benjamin mkapa stadium, je kwa mfano fifa ingechezwa hapa wangebadilisha jina au ni majina ya kibiashara tu
  14. srinavas

    JamiiForums Tanzania Fahamu Faida na Mbinu za Kupeleka Kampuni/ Biashara katika SOKO la HISA

    hivi mkuu Masokotz , Kwa uzoefu wako hapa bongo haya mambo ya hisa yanaweza kumtoa mtu?? maana kwa sasa wameibuka waalimu wengi mitandaoni wa maswala haya ya hisa wakitoa elimu namna ya uwekezaji ila wanataka kulipwa wao ili waweze kuitoa elimu hiyo.. Je, Unaweza kuwa na mifano au experiance...
  15. srinavas

    JamiiForums Tanzania Zungu: Kwanini Makampuni ya Simu hayauzi Hisa kwa Umma?, Serikali inapoteza Mapato mengi, TCRA na CMSA wahojiwe

    hivi kumbe nikitaka kununua hisa za vodacom nazipata tu, aisee nahitaji elimu kwenye haya maswala ya hisa kwa hapa tanzania maana siyajui kabisa
Back
Top Bottom