R.I.P Boss, Huyu alikuwa Country Manager wetu kwenye kampuni ya Wananchi group of Companies (Zuku & SimbaNet)
Apumzike kwa amani na ninamshukuru kwa Kunipa fursa ya Ajira bila ya kunifahamu na akaniamini akanipa Kazi..
Mkuu, Kwa usawa huu kama huna maokoto wewe kaa mbali tu na hao viumbe. Maana ni stress tupu
Ila pia naomba share namba mkuu na mm nikajibless na tunda kimasihara. Hao wa namna hiyo ndio nawapendaga mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.