Recent content by sr bachelor

  1. sr bachelor

    Ogopa ma senior bachelor

    haya bana dah.!
  2. sr bachelor

    Ogopa ma senior bachelor

    mmmmh haya bana
  3. sr bachelor

    Sasa nipo tayari kuacha ubachela

    Binti ambaye upo kiwanja hasa DMV area na upo tayari kwa mahusiano mbayo yatazaa ndoa ni pm. Uwe chini ya miaka 30. Mwislamu au upotayari kuingia uislamu. Mambo mengine tutaongea.
  4. sr bachelor

    Usanii mpya wajitokeza Tanzania

    Ndo tatizo la watanzania, sio wabunifu, wamekremisha kampeni, unatakiwa uandae ilani ya uongo ka ya ccm na kuanza kuimba kwenye majukwaa kama zezeta..bahati mbaya tanzania inabaadhi ya vijana wenye IQ ndogo, ukichanganya na shule ya kukariri inawafanya wanakuwa kama makondoo, wakisikia kitu...
  5. sr bachelor

    Nape: Ni upuuzi ICC kusema inaangalia uchaguzi kwani si kazi yao

    ICC lazima izae na mtu safari hii
  6. sr bachelor

    Mchungaji Msigwa ubunge wa Iringa mjini hapati Tena

    Embu angalia lijamaa lilivyovimbiwa rushwa ka kifurushi
  7. sr bachelor

    Tunza kichinjio chako tuipige chini CCM

    Watanzania mwaka huu wakichagua ccm kweli ntajua wapumbavu
  8. sr bachelor

    Samia Suluhu: Ukipewa pesa chukua kura kwa CCM

    ccm wamechanganyikiwa na kupanic sana, alafu lowasa taratibu, anawaacha wabtatuke kila kitu akija, anapita juu na sera za ukweli za KUIKOMBOA nchi..lowasa ni hatari sana..
  9. sr bachelor

    Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

    ndo za ccm hizo, wanakupa hela, wakiona hazileti matunda waliyokusudia wanakufanyizia tu
  10. sr bachelor

    Nilichojifunza kwa Lowassa, huyu jamaa ni zaidi ya Roll model kwa waliozimwa kirahisi na CCM

    Lowasa ni level za nchi kama marekani 1.kuanza biashara mdogo na kufanikiwa sana..unajua kwenye biashara ka muoga muoga hutoboi.. 2. Kuweza kukaa na watu wa kila aina, viongozi wa dini, wasomi, wafanya biashara, bodaboda, matajiri nk 3. Angekuwa ni mwanasiasa legelege ungekuta analia lia..ila...
  11. sr bachelor

    Tabia ya kumtongoza mwanamke halafu anakuita kaka, rafiki na mengineyo

    Friend zone hiyo kaka, kuna mtoto mmoja kaniingiza hapa hata siamini acha tu
  12. sr bachelor

    Roho mbaya tulizonazo wanaume

    Ni kawaida hiyo, hata kwenye siti hapo hapo unakula
  13. sr bachelor

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Kwa Mambo ya kijinga ka ya mzee warioba tukubali tu watu weusi tuna kalaana flani.
  14. sr bachelor

    ONYO: Makongoro Nyerere kabla hujafa hujaumbika

    Ccm ina vilaza wengi nashangaa leo watu wazima ka mkapa wamegeuka vilaza, maana nlijua ni waganga njaa ka wewe..unatega mingo cCm badala ya kupiga kazi utaolewa Ukawa ikishinda we subiri
  15. sr bachelor

    Tanzanian politics: Mbona dunia itafurahi, yaani team 6 ya ipo field na all enemies

    Shetani kivipi..na mudawote unafanywaje unapumuliwa na maccm au maana hueleweki
Back
Top Bottom