Recent content by square

  1. S

    Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

    Mimi pia nina wazo la kufungua duka la namna hii, ila ninampango wa kuajir mtu coz mm ni mtumishi mahali pengine, mtaji wangu ni 5m, nishawah kukaa dukan kwa wazaz, naomba kujua kwa uzoef wako kama hiyo hela itatosha.
  2. S

    Kuna mtu nimemzimikia

    usijisike vibaya kumweleza mtu the way u feel about him/her ,just open up
  3. S

    Kuhusu biashara ya vifaa vya simu

    niunganishe na mm ndugu nahitaji kujua sana kuhusu biashara ya phone accessories 0653031100
  4. S

    Natafuta software za kutunza mahesabu ya biashara

    we jamaa mawasiliano yako tafadhal i need this software
  5. S

    Biashara ya vifaa vya simu kutoka Dubai/China

    Kaka niko moshi ninataka kufanya hii biashara ,tafadhali heb naomba muongozo kidogo ktk kupata vitu kutoka dubai kama ninaweza pata mtu wakunitumia mzigo,na vp mtaji wa kati unaweza kua bei gan,plz ndugu i real insist
  6. S

    Biashara ya vifaa vya simu kutoka Dubai/China

    ndugu naomba kujua kama hii huduma bado inapatikana kutoka kwako nataka nifanye biashara ya vifaa vya simu
  7. S

    Biashara ya vifaa vya simu kutoka Dubai/China

    ndugu naomba kujua mtaji wa chini kabisa wa biashara hii inaweza kua kiasi gani
  8. S

    Nahitaji kufungua saloon ya kike; Naomba mchanganuo

    hello guyz, nahitaji kufungua salon ya kike katika mji wa MOSHI, plan yangu pia ni iwe pia inatoa huduma za bidhaa mbali mbali related na solon ya kike, ombi langu ni kutaka kujua kutoka kwa watu wazoef ni changamoto gani ninaweza kumbana nazo na utatuzi wake ukizingatia mimi ni kijana wa...
Back
Top Bottom