Biashara ya vifaa vya simu kutoka Dubai/China

Biashara ya vifaa vya simu kutoka Dubai/China

Bado sijajua njia nafuu ya kutuma mzigo ila nnachojua kampuni kama dhl viwango vyao vya kutuma viko juu,vip unanishaur nitumie njia gan ndugu?#mtengwa

Kuna njia ambayo mimi naitumia, kwa dubai kuna watu wananunua kilo na kuuza ambao kila siku wako kama watu wako ni wenyeji sana watakua wanapajua gold plaza deira, hapo ndo center ya wafanyabiashara wa bongo. akienda pale analipia kilo moja kwa kama dola 6-7 kwa kilo, hapo mzigo wake unatumwa to Bongo ndani ya 24 hours or less, hiyo ni mpaka ndani airport so ya kulipia TRA ni juu yako.
 
urahisi wa kutuma na bei mtu anayetuma kule ndio anajua sababu mzigo unalipiwa shipment kule na sio huku.., ila kawaida mzigo wowote chini ya 50kgs door to door ni rahisi, kwenye kgs 50 mpaka 500kgs air cargo zaidi ya hapo ni meli

Sorry kaka unavyosema door to door unamaanisha nn,be open kidogo n' sorry again kwa kukuchosha na maswali
 
Kuna njia ambayo mimi naitumia, kwa dubai kuna watu wananunua kilo na kuuza ambao kila siku wako kama watu wako ni wenyeji sana watakua wanapajua gold plaza deira, hapo ndo center ya wafanyabiashara wa bongo. akienda pale analipia kilo moja kwa kama dola 6-7 kwa kilo, hapo mzigo wake unatumwa to Bongo ndani ya 24 hours or less, hiyo ni mpaka ndani airport so ya kulipia TRA ni juu yako.

Nikishaset mipango vizuri ntakutafuta for more info kuhusu iyo njia kiongozi wangu
 
Sorry kaka unavyosema door to door unamaanisha nn,be open kidogo n' sorry again kwa kukuchosha na maswali
Door to door ni service kama DHL, FEDEX, TNT, UPS n.k. yaani mzigo unaletewa mpaka kwako mambo ya clearing na ushuru wanakufanyia wenyewe, tofauti na air cargo mzigo unafikia airport na wewe mwenyewe ndio inabidi utafute clearing and forwarding agent akutolee mzigo, na sea mzigo unafikia bandarini vivyo hivyo mpaka clearing agent akutolee..,

Kama ni DUBAI unaweza ukaongea na ma clearing agents huenda wana watu wanaleta mizigo mara kwa mara unaweza na vimizigo vyako ukachanganya na vya hao watu ili kupunguza gharama.., ila kuwa secure zaidi kwa kuanza na uhakika wa mzigo wako kufika tumia hizi door to door
 
Mkuu Asante kwa ufafanuzi wako#keyserSoze
 
Kwa hapa Dubai njia rahisi kuliko zote ni Emirates Post ambazo zipo kila kona,kwa mfano kilo 30 atalipia tsh 85,000/ ambapo ndani ya siku 8 mzigo unaupata Posta mpya Dar,na kwa kuwa vifaa vya simu si vizito 30kg ni mzigo mkubwa sana,binafsi ata mimi nimeshawatumia watu kadhaa.Pale Posta Dar wanasema kuna wizi lakini kwa almost miaka saba sasa sijawai kupata hilo tatizo,kodi ipo kama kawaida japo si kubwa kwa hivi vifaa.Hizo njia nyingine kama DHL,UPS etc ni nzuri sana lakini kwa mtu unayetaka mzigo wa biashara gharama yake ipo juu kidogo.
 
Me naifanya japo nimeanza na mtaji mdogo lakini nashukuru unasogea.
uzuri wa vitu hivyo ni rahisi kusafirisha as unakuta mzigo wa milioni moja lakini haujafika kilo mbili.
Kwa ushauri inategemea na mtaji utakaoanza nao, kama una mtaji mkubwa tafuta fremu eneo lililochangamka uwe unauza rejareja kwa kumuweka mtu pia itakua store yako, wewe utakua na begi lako unazunguka kutafuta wateja wa hapa hapa dar na wa mikoani unaanza nao kwa kutengeneza nao connection kidogo kidogo.
Changamoto kubwa ni kuwa ukiwa una supply bila kuwa na ofisi/fremu permanent watu wanaogopa as anaweza kununua mzigo ukawa mbovu alafu hajui pa kukupata.
hivyo vitu ulivyotaja ukaongezea makava ya simu, earphones, mouse, mp 3 na mp 4, pads za play station, power bank n.k
Mkuu mtaji wa chini unaweza ukaanza na kiasi gani. Naitamani hii business mi ni mwanafunzi na wanafunzi ni soko kubwa sana la hivi vifaa
 
Wewe mzigo kama huo utume door to door unapunguza vurugu zote za TRA. Wewe unachukua mzigo wako ghala tu Home centre ndio shughuli zao hizo
 
Viongozi nam naomba niusike kidogo, kama hakuna mtu ambaye unamfahamu ila pia unafikiria kufanya hii biashara ya kuagiza used electronic kama tv,monitir,cpu kuna company ambayo inaweza ikafanya shughuli hii kwa dubai, au uk? vipi taratibu za usafirishaji na gharama.? natanguliza ushukrani
 
  • Thanks
Reactions: kyi
Bwana Shaidi Kama upo serious watu tupo sema unachotaka tutafanya kazi nitafute whatsapp +971504374387 BUT if you are serious...kwa mzigo husiozidi 30kg ntakutumia kwa Posta ambao kwa Dar ni chini ya siku 8 unaozidi kilo 30 ntautuma kwa njia tofauti.
 
Me naifanya japo nimeanza na mtaji mdogo lakini nashukuru unasogea.
uzuri wa vitu hivyo ni rahisi kusafirisha as unakuta mzigo wa milioni moja lakini haujafika kilo mbili.
Kwa ushauri inategemea na mtaji utakaoanza nao, kama una mtaji mkubwa tafuta fremu eneo lililochangamka uwe unauza rejareja kwa kumuweka mtu pia itakua store yako, wewe utakua na begi lako unazunguka kutafuta wateja wa hapa hapa dar na wa mikoani unaanza nao kwa kutengeneza nao connection kidogo kidogo.
Changamoto kubwa ni kuwa ukiwa una supply bila kuwa na ofisi/fremu permanent watu wanaogopa as anaweza kununua mzigo ukawa mbovu alafu hajui pa kukupata.
hivyo vitu ulivyotaja ukaongezea makava ya simu, earphones, mouse, mp 3 na mp 4, pads za play station, power bank n.k
ndugu naomba kujua mtaji wa chini kabisa wa biashara hii inaweza kua kiasi gani
 
Bwana Shaidi Kama upo serious watu tupo sema unachotaka tutafanya kazi nitafute whatsapp +971504374387 BUT if you are serious...kwa mzigo husiozidi 30kg ntakutumia kwa Posta ambao kwa Dar ni chini ya siku 8 unaozidi kilo 30 ntautuma kwa njia tofauti.
ndugu naomba kujua kama hii huduma bado inapatikana kutoka kwako nataka nifanye biashara ya vifaa vya simu
 
Kuna njia ambayo mimi naitumia, kwa dubai kuna watu wananunua kilo na kuuza ambao kila siku wako kama watu wako ni wenyeji sana watakua wanapajua gold plaza deira, hapo ndo center ya wafanyabiashara wa bongo. akienda pale analipia kilo moja kwa kama dola 6-7 kwa kilo, hapo mzigo wake unatumwa to Bongo ndani ya 24 hours or less, hiyo ni mpaka ndani airport so ya kulipia TRA ni juu yako.
Endeleeni kutupa nondo
 
Bwana Shaidi Kama upo serious watu tupo sema unachotaka tutafanya kazi nitafute whatsapp +971504374387 BUT if you are serious...kwa mzigo husiozidi 30kg ntakutumia kwa Posta ambao kwa Dar ni chini ya siku 8 unaozidi kilo 30 ntautuma kwa njia tofauti.
Nami nitakutafuta
 
Bwana Shaidi Kama upo serious watu tupo sema unachotaka tutafanya kazi nitafute whatsapp +971504374387 BUT if you are serious...kwa mzigo husiozidi 30kg ntakutumia kwa Posta ambao kwa Dar ni chini ya siku 8 unaozidi kilo 30 ntautuma kwa njia tofauti.
Wengi tutakutafuta .nikiwa gold souk nataka tuonane
 
hiyo biashara uwe na mtaji bei gani kuifanya,nipe ramani mkuu maana ninauzoefu nayo
 
Back
Top Bottom