Recent content by SQL

  1. S

    MEYA Jerry Silaa asema SIASA za UJAMAA na KUJITEGEMEA ni MBAYA, NYERERE alituharibu...

    Huyu dogo huwa namkubali sana...hatumii ubavu..kichwa sana..big up jerry.. Watz tumekuwa wapumbavu watu wanapenda kuomba omba.. Tunalipa kodi watu wachache wafanyakazi...mtu analima anauza mazao then bdae anaomba chakula chakula msaada..shit Madalali kila sehemu, kutaka hela kirahisi... Tuache...
  2. S

    CCM waingiza vifaa vya uenezi vya CHADEMA kutoka China

    Zile sifa zote alizotoa Obama kwa JK hamkuzisikia..ukiwa Chadomo, utabaki Chadomo tuu..
  3. S

    NewYork Times: Violent Episodes Grow in Tanzania, an African Haven

    Tusijidanganye, Marekani anafanya kazi na chama anachokielewa na kile ambacho kitasimamia maslahi yake...kesi ya nyani anapelekewa ngedere... Marekani inakiamini ccm, kwa maslahi ya Marekani.
  4. S

    Henry Kilewo aitwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi

    Hawa viongozi wa cdm night wachaga wote?
  5. S

    IGP: Tutamhoji Mwigulu, mwenye kujua wahusika wengine wanitumie ujumbe 0754785557!

    Katoka Lwakatare tu..mabo yameanza...mnajilipua mnataka sympathy.
  6. S

    Mh. Nassari ashirikiana na wapiga kura wake kuchimba mitaro ya maji jimboni kwake

    Na mnyika naye aige siyo kuandamana...
  7. S

    Tutarajie haya baada ya kikao cha cc ya CCM

    Kwani msimamo wa chadema night upi? Wanataka serikali ngapi? Viti maalum vowepo au la? Maana naona viongozi wamekaa kimya...
  8. S

    Live updates Mkutano wa Tundu Lissu: Kampeni Udiwani Masanze Kilosa

    Kwani mpaka yeye Lissu amsikie ndo tujuwe tuna mbunge? Huyo Lissu atasikiaje na anafanya fujo bungeni...
  9. S

    Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu

    Watu wanaishi USA miaka 10 kumbe wanafanya kazi supermarkets...atuambie alichofanya USA....
  10. S

    Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu

    Naomba matokeo ya Sugu ya form iv...
  11. S

    Mipango ya CHADEMA 2015 ni kuhaikikisha tuingia Ikulu na kunyakua majimbo yote!

    Wa Ubungo..maana mpaka Leo hajatuletea maji..
  12. S

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    MPadmire Unataka kusema hata USA ina serikali dhaifu..maana mabomu yalipuka Boston.
  13. S

    Madeni ya Serikali yaiweka PSPF njia panda

    1)Nahisi huyu atakuwa yule mtoto wa kigogo aliyesimamishwa pale PSPF...anachezea akili za watu... 2) Pia hii mifuko sasa hivi inaushindani wa kupata wanachama...na PSPF inane wanachama wengi walimu, ambapo mifuko mengine haina.. Hizi propaganda ya LAPF.
  14. S

    Kutoka bungeni: Aprili 25, 2013

    Aliuliza kwanini serekali haileti feedback kuhusu maazimio ya bunge kuhusu sakata la Jairo? Pinda akasema bado tunalifanyia kazi na tutaleta taarifa wakati wowote. Mnyika akauliza swali la nyongeza "naomba waziri mkuu atuambie night lini, atoe tarehe au bunge lipi" Pinda: wakati wowote kuanzia...
  15. S

    Bungeni tumepeleka vichaa, wendawazimu au mateja?

    Sugu na Lusinde ni tatizo...
Back
Top Bottom