Ninapenda sana kuandika, na ni professionally schooled on it. Mimi ni graduate wa BA English Linguistics. Ningependa kupata kazi kama contributor wa magazine, online source/website au newspaper yoyote kwa muda wangu wa ziada as I am working now. Kuhusu muda, I am an excellent time manager who...
Habarini wadau,
Mbele yenu ninahitaji kupata chumba kimoja tu cha kuishi pale Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Shekilango au hata popote pale karibu na mji.
Nimesikia kuna ukiritimba na utapeli uliokithiri pia. Sasa ninahitaji msaada wa mtu yeyote kuniwezesha (kama inawezekana) kupata chumba...
Habarini, ninafanya kazi katika kampuni moja hapa DAR.
Kilochonileta hapa ni kwamba ninatafuta kazi ya ziada ya kuifanya ama usiku (kama nitaifanya kwangu) au siku za mwisho wa wiki (mahala popote)
Elimu yangu ni BA in English Linguistics, na nina ujuzi wa Videography, Photography and...
About the company
Bridge for Change is a youth-led NGO based in Dar es Salaam, Tanzania. The organisation is currently looking for qualified and self-motivated individuals to fill the position of Project Assistant Volunteers.
Responsibilities related to the position are as follows:
...
Ninawafahamu; nimefanya nao kazi mara mbili: mwaka 2010 na 2012 kwa nafasi hiyo hiyo uliyoomba. Malipo yalikuwa ni TAS 7,000/- kwa siku. Kuhusu interview mimi sikufanya kabisa kwani nilikuwa na uhusiano wa karibu na Senior Official mmoja pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.