Recent content by spleen

  1. S

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Huoni kama hizo rehab center ni fursa zenyewe mkuu? Ni kama tu wajinga wanavokua wengi,CCM inashinda kwa kishindo
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hisia:- Huenda Tanzania kushirikiana na Uganda tukajenga refinery yetu, nini kitatokea kwa Dangote, Mombasa?

    Labda refinery ya kuua raia wanaoipinga serikali na kuwaweka kizuizini wapinzani wao
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini mawakala wa kufanya mihamala ya simu wanachelewa kufungua ofisi?

    Ajira portal wasingekua wanajazana kuomba kazi Maisha ya kibongo nje ya ajira si rahisi kihivyo😀😃😃😃 Wengi wanaojiita wafanyabiashara ni machinga😀😀😆, Mtu ameweka kibanda eneo la wazi,barabarani,road reserve etc, hata kukopeshwa milioni 10 tu mtihani naye anajiita mfanyabiashara😆😀
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini mawakala wa kufanya mihamala ya simu wanachelewa kufungua ofisi?

    Wabongo wengi wamejiajiri kwa kua ajira ni chache,acha fix hapa😆😆,flexibility ya kufunga biashara sa 5 usiku?,....ni dhiki tu
  5. S

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Ukiwa masikini na MPUMBAVU kama wewe,inakua vizuri sanaaaa..........maana serikali haiwezi kosa Kodi hapo ya kugharamia maisha ya anasa ya viongozi Pia hao wahindi wanafanya vizuri sanaa sanaaa kuhudumia watoto wao wawe na maisha Bora, kwa kazi rahisi tu ya kukusanya pesa kwa MAPUMBAVU kama...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Watu wasipobeti serikali itapataje kodi? Ma V8 ya viongozi nani ataweka mafuta? Acheni roho mbaya basi jamani
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Kwa hio hao walioajiriwa wanaajiriwa Ili wanyimwe basic needs? 😃😆😆 Afya ni basic needs, watanzania ambao hawana bima ya afya ni 92% Kwa hio hao sio masikini sababu tu hawajaariwa? 😆😃😃
  8. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya miaka 30 sababu inayowafanya wanawake kuzama kwenye dini sio wokovu. Kijana shtuka

    Wanaume wote WAPUMBAVU na ma simp hukimbilia kanisani kutafuta wake BORA,waliokua nyuchi za mazoezi za Ma-PLAY BOY😃😆😆
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Ukishakua masikini wewe ni MTUMWA tayari,
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Na ndio hao wenye pesa,,Tanzania maisha ya mfanyakazi mwenye mshahara wa mwisho serikalini ni Bora zaidi kuliko ya mfanyabiashara unayemuona mkubwa😆😆😆 Masikini wengi wapo kwenye kundi la wasio ajiriwa na huwezi waona hospitalini sababu hawana uwezo wa kipesa wala bima ya afya
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Uhuru ni PESA na MUDA,uhuru sio kua machinga,ama kua na fremu inayokulazimu kuamka asubuhi na mapema kuwawahi wateja
  12. S

    JamiiForums Tanzania Iran ijiandae kupigwa- Waziri wa Ulinzi wa Israel Katz

    Upo sahihi aje mjinga yeyote na MPUMBAVU ajibu haya maswali hapa😁😆😆 International Forum Iran ijiandae kupigwa- Waziri wa Ulinzi wa Israel Katz Thread starterEcholima1 Start dateJun 30, 2026 First Prev3 of 3 Summarize Thread (AI)Jump to newSubscribe ••• Liwagu JF-Expert Member Jul 1...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israeli, Israel Katz aionya Iran!

    Naomba unijbu haya maswali nitoke kwenye UPUMBAVU angalau niwe mjinga tu🙏🙏🙏 1.Kwa nini nchi masikini zaidi duniani zipo kusini mwa jangwa la sahara na 80% ya population yake ni wakristo? 2.Kwa nini Zanzibar Ina WAISLAM 99% na rasilimali zake za mafuta na gesi,sio Mali ya muungano,wakati Mali...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Iran Kwanini Hapigi Israel

    nijibu haya maswali mkuu niwe mwelevu kama wewe🙏🙏🙏🙏 1.Kwa nini nchi masikini zaidi duniani zipo kusini mwa jangwa la sahara na 80% ya population yake ni wakristo? 2.Kwa nini Zanzibar Ina WAISLAM 99% na rasilimali zake za mafuta na gesi,sio Mali ya muungano,wakati Mali za bara hata wazanzibar...
Back
Top Bottom