Ajira portal wasingekua wanajazana kuomba kazi
Maisha ya kibongo nje ya ajira si rahisi kihivyo😀😃😃😃
Wengi wanaojiita wafanyabiashara ni machinga😀😀😆,
Mtu ameweka kibanda eneo la wazi,barabarani,road reserve etc,
hata kukopeshwa milioni 10 tu mtihani naye anajiita mfanyabiashara😆😀
Ukiwa masikini na MPUMBAVU kama wewe,inakua vizuri sanaaaa..........maana serikali haiwezi kosa Kodi hapo ya kugharamia maisha ya anasa ya viongozi
Pia hao wahindi wanafanya vizuri sanaa sanaaa kuhudumia watoto wao wawe na maisha Bora, kwa kazi rahisi tu ya kukusanya pesa kwa MAPUMBAVU kama...
Kwa hio hao walioajiriwa wanaajiriwa Ili wanyimwe basic needs?
😃😆😆
Afya ni basic needs, watanzania ambao hawana bima ya afya ni 92%
Kwa hio hao sio masikini sababu tu hawajaariwa?
😆😃😃
Na ndio hao wenye pesa,,Tanzania maisha ya mfanyakazi mwenye mshahara wa mwisho serikalini ni Bora zaidi kuliko ya mfanyabiashara unayemuona mkubwa😆😆😆
Masikini wengi wapo kwenye kundi la wasio ajiriwa na huwezi waona hospitalini sababu hawana uwezo wa kipesa wala bima ya afya
Upo sahihi aje mjinga yeyote na MPUMBAVU ajibu haya maswali hapa😁😆😆
International Forum
Iran ijiandae kupigwa- Waziri wa Ulinzi wa Israel Katz
Thread starterEcholima1
Start dateJun 30, 2026
First Prev3 of 3
Summarize Thread (AI)Jump to newSubscribe
•••
Liwagu
JF-Expert Member
Jul 1...
Naomba unijbu haya maswali nitoke kwenye UPUMBAVU angalau niwe mjinga tu🙏🙏🙏
1.Kwa nini nchi masikini zaidi duniani zipo kusini mwa jangwa la sahara na 80% ya population yake ni wakristo?
2.Kwa nini Zanzibar Ina WAISLAM 99% na rasilimali zake za mafuta na gesi,sio Mali ya muungano,wakati Mali...
nijibu haya maswali mkuu niwe mwelevu kama wewe🙏🙏🙏🙏
1.Kwa nini nchi masikini zaidi duniani zipo kusini mwa jangwa la sahara na 80% ya population yake ni wakristo?
2.Kwa nini Zanzibar Ina WAISLAM 99% na rasilimali zake za mafuta na gesi,sio Mali ya muungano,wakati Mali za bara hata wazanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.