Recent content by spleen

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Wamarekani wasenge tu WANAFIRWA,.......hivi mtu muuzaji kama MAFWELE naahitaji kwenda marekani Ili aishi?,yaaani mtu aende maexico,aende UAE,CHINA,RUSSIA etc........ashindwe kuishi kwa sababu haendi MAREKANI?😃😁😁😁
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume, yaangalie mahusiano kwa mtazamo wa kibiashara

    Kitu nilichojifunza wanawake wote wanaokukimbia sababu huna kitu ni wanajiuza,.......akiondoka hata siumii yaani....nikiwa na hela za mchezo namuita namgonga anasepa,akiomba hela namnyima,.........fun fact mwanamke anayekukimbia sababu umemnyima elfu 20,ukiwa na elfu 40 ukimuita hawezi kukataa...
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiburi kimeua mahusiano ya watu wengi kuliko usaliti

    "Ego is an enemy"
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kuna mtu namjua alikopa milioni 2 akarudisha milioni 9😁😁😁 Hii nchi CCM et al,wamewafanya watumishi wa serikalini ni chuma ulete wao
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hata kama alianza kazi na Diploma?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nchi za East Africa zimekubali Oil refinery ijengwe Tanga, lakini Tanzania bado inatafakari. Dubai kunani?

    Wa kumlaumu hapa ni JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI,yeye alikua genius,kwa nini amchague KILAZA,kua msaidizi wake?
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mli-deal vipi na hili, kwenye suala la utongozaji?

    Huyo hakupendi,endelea kutongoza
  8. S

    JamiiForums Tanzania Temeke DC yafafanua Watumishi kuingiziwa fedha kisha kuambiwa wazirudishe, yaelezwa ziliingizwa kimakosa

    Bado wewe sio mwajiriwa wa TEMEKE na hii sio bahati mbaya sababu kubwa wewe ni MPUMBAVU. Sababu pia,umeshindwa kujua pesa unayotumiwa kwa bahati mbaya sio Mali yako😁😅😆😆
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Rais wa Marekani ahairisha oparesheni ya kusindikiza manowari za biashara

    Walokole wa bongo na wazee wa mungu wa Israel watakuja hapa kusema uliyoyaandika HAYAPO kwenye agano la kale😁😆😆
  10. S

    JamiiForums Tanzania Temeke DC yafafanua Watumishi kuingiziwa fedha kisha kuambiwa wazirudishe, yaelezwa ziliingizwa kimakosa

    Ndio maana haujakua sababu wewe ni MPUMBAVU😆😆,umeshindwa kujua mwajiri anaweza kukukata mshahara hadi deni lake liishe😁😁😅
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Rais wa Marekani ahairisha oparesheni ya kusindikiza manowari za biashara

    Kwani kabla ya U.S na Israel kuivamia Iran bei ya mafuta ilikua kubwa eeh? Na Iran anavopambana na U.S,Israel ni anataka bei ya mafuta iendelee kua kubwa eeeh NOTE:Sio lazima ukiwa mlokole uwe MPUMBAVU 😁😁
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Rais wa Marekani ahairisha oparesheni ya kusindikiza manowari za biashara

    Trump:nitafanya operation ya kufunga Hormuz Walokole&wazee wa mungu wa Israel:U.S na Israel ni superpower Trump:nasitisha operation ya kufunga Hormuz Walokole na wazee wa mungu wa Israel:U.S na Israel ni superpower Watu wenye akili:walokole na wazee wa mungu wa Israel ni WAPUMBAVU
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Meli zaidi ya 470 zimepata shambulio kubwa la mfumo wa GPS

    Walokole wa bongo watakuja hapa na kusema ni halali U.S na Israel itawale mataifa mengine,kama Venezuela,Palestine,Iran etc.....ila watasema pia hapa kua wazungu walifanya makosa kuleta UKOLONI🤣😅😁😆
  14. S

    JamiiForums Tanzania Marekani yashambuliwa na Jeshi la Wanamaji la Iran ambalo inadaiwa liliangamizwa

    Umemaliza Kila kitu hapa Mi kinachoniumiza ni kuona mkristo tena msomi,eti kwa kua tu muislam mbumbumbu anaitetea Iran,basi yeye anaitetea Israel, na U.S 😆😆😁,Ili tu aonekane mshindi,.......wakati huo huo anawaponda wakoloni na wazungu kwa kuwatawala waafrika huku akishangilia Iran kutaka...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu mmoja aliwahi kuniuliza kwanini watu wa mashariki ya kati baadhi yao wanaona ugaidi ni kama moja ya jukumu lao hapa duniani? Nilimjibu hivi

    2001 Osama Bin laden aliipiga Washington D.c pale katikati watu wakafa,....U.S ikaresist,ikafight back, Osama na kundi lake wakaitwa magaidi, 2025,Israel ikafanya mashambulizi,Iran,ikaua viongozi,Iran ikafight back ikaichakaza sana Israel hadi kuomba ceasefire, 2026 Israel na...
Back
Top Bottom