Nakumbuka nikiwa primary tulikua na utaratibu wa kwenda usiku shuleni kwa ajili ya masomo ya ziada, siku moja kama saa mbili usiku hivi tupo njian tunaelekea shule wakatokea watu ghafla na kuwaamuru wafanya biashara kuzima taa kwa lazima mara paap tukaanza kusikia milio ya bunduki kuna duka la...
hujafa hujaumbika wewe kaka,leo hii unakiona kiumbe cha Mungu hana sura wala chura but kumbuka within one minute hata wewe hiyo sura na chura vinaweza potea..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.