Recent content by Spiracle z

  1. Spiracle z

    Inadaiwa kuna Kijana wa DIT alijirusha kutoka Ghorofani mnamo tarehe 11/12/2024

    Kijana wa mwaka wa kwanza Diploma katika chuo kikuu cha DIT , ajirusha toka ghorofa ya kumi mpaka chini. Kisa cha yeye kujichukua uhai hakijulikani mpaka sasa. vijana kujichukua maisha yenu wenyewe sio suluhisho ya matatizo yanayowasibu tena kwa kijana ambaye uko kwa institution ya elimu kuna...
  2. Spiracle z

    Rostam Aziz: Lowassa hakuwa rafiki bali ni ndugu yangu tumeishi Nyumba moja kwa miaka 15, anapenda Maendeleo!

    Sasa hapo anafanyeje ili katiba iheshimike wakati alienda kwa chama kingine mbona kama wanatakaga kuonekana hawana mapungufu
  3. Spiracle z

    Naomba kufundishwa namna ya kutengeneza animation ya Automatic Power Factor Correction ya kiwanda kidogo(Small Factory)

    Wanajamii habari zenu ,ninaomba msaada wa kielimu kwenye suala hili la kutengeneza animation ya automated power factor correction system kwenye kiwanda kidogo . Pia na namna ya kuandika literature review ya project work ya hii kazi.
  4. Spiracle z

    Treni ya SGR Dar-Moro kuanza kutoa huduma Januari 2024

    Sasa hili ni fumbo la kisiasa kwa minajili ya kupooza watu wasio elewa kwa sabab kama walisema kuna adha ya umeme sababu ikiwa utoaji wa huduma za umeme kwa sasa ni ngumu kutokana na kiwango cha umeme unaoweza kuzalishwa kwa muda huu uko chini ya gridi ya taifa kwa hio wakatoa miezi sita suala...
  5. Spiracle z

    Majibu ya HESLB batch ya 3 2023/24

    Endelea kutembelea akaunti yako mpaka siku ya kukata rufaa(appeal). Mambo ya kuzingatia kwenye kukata rufaa sanasana wanachoangalia ni uhitaji wako wa kupata mkopo ni; 1.Yatima-(mzaz mmoja au wote wawili wamefariki na (che)vyeti chake/vyao cha/vya kifo kiwe kimehakikiwa na RITA .)...
  6. Spiracle z

    Majibu ya HESLB batch ya 3 2023/24

    Kumpa mtu moyo ndo kitu bodi wanawafanyia watu huku wakiwapa matumaini yasiyo timika bora kujiandaa kwa lolote kuliko kukaa chini kutegemea bodi itafanya kitu cha tofauti zaidi . Ikitokea wamepewa ashukuru Mungu lakini sio jambo la kuwapa watu matumaini yasiyokuwepo.Think Smart....
  7. Spiracle z

    Majibu ya HESLB batch ya 3 2023/24

    haimaanishi kuwa umekosa ila vuta subira na sala nyingi
  8. Spiracle z

    Majibu ya HESLB batch ya 3 2023/24

    vigezo ni vile vipaumbele vya bodi ya mikopo kila mwaka wanavitaja kwenye muongozo wa utoaji mkopo ambavyo ni kama una TASAF(kama unapokea hela kutoka TASAF kwa ajili ya kaya maskini),yatima (mzazi mmoja au wote wawili wamefariki),sponsorship(ufadhili) na katika muongozo wa mwaka huu 2023/24...
  9. Spiracle z

    Majibu ya HESLB batch ya 3 2023/24

    sali sana imani huvusha milima....
  10. Spiracle z

    Majibu ya HESLB batch ya 3 2023/24

    kijana update ilioko kwako ni usubirie kufanya appeal bas
  11. Spiracle z

    Kubadilishiwa na kucheleweshewa mkopo kwa Wanafunzi wa elimu ya juu sio haki

    Inabidi bodi ya mkopo iunde mfumo ambao utakuwa na mawasiliano na vyuo vyote nchini kwamba kabla ya masomo kuanza katika chuo chochote wanafunzi wawe tayari wamewezeshwa na ada na boom ili kuondoa usumbufu kati ya mwanafunzi na vyuo kwenye malipo ya ada pamoja na wanafunzi hawa waweze kujikimu...
  12. Spiracle z

    Dirisha la Maombi ya Samia Scholarship lafunguliwa

    Kwa hiyo Samia Scholarship unafanyaje application maana kuna sehem ya kujaza registration number na bado hatujafika chuo kuanza registration
Back
Top Bottom