Recent content by Spiderman jr

  1. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Je, in reality dunia hii ipo? Au ipo kichwani kwangu tu?

    Fanya kibinafsi sio lazima uangalie wengine
  2. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Je, in reality dunia hii ipo? Au ipo kichwani kwangu tu?

    Yeah hiyo Dunia ipo kama ukiamua kupanga ratiba ya Siku Yako. Fanya utume To do list kaka .
  3. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Uh kudadadeki , hapo lazima biashara iwe gumzo. Sasa utal organize vipi bei? Utauza mhogo Moja 100? Pia lazima ufikirie kipato cha wateja kaka
  4. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Aisee una mawazo makali kaka. Yaani una chagua location yenye mafuriko ya watu kisha una zindua bidhaa za surprise kama mihogo ya mayai. Aisee nimeipenda sana hiyo . Hivi hiyo mihogo ya mayai inapikwa vipi ? Labda nijaribu home 😂😆😂
  5. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Hakika bro . Ungekuwa wewe ndio muuza mihogo unge manage na kuendesha vipi bussiness Yako na kufikia mafanikio. Nina shauku ya kusikia mawazo Yako kaka
  6. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Yeah mbinu nyingine? Kudumisha uhusiano mzuri include ..
  7. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Anauza mihogo ya kukaanga nikamshauri toa offer ya chai kwa wateja. Yaani unanunua mihogo chai unapata bure. Ila wasio na tabia ya kujisomea unawajua walivyo? Hajafanya chochote anaendelea na comfort zone yake
  8. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Aisee lakini Kuna dada fulani analalamika biashara ngumu basi nikampa idea ya kutoa offer ya chakula kuvuta wateja. Lakini hayuolko tayari ku adapt to change. Ndio matatizo ya kutokuwa na eleimu
  9. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Hivi kaka kwanini watu wengi mtaani wanakazia kutafuta pesa tu lakini maarifa hawayatafuti? Unakuta mtu kutwa biashara lakini kusomea mambo ya pesa na uchumi hakuna
  10. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Mimi nakubaliana na mtoa mada. Ushindi ni kujishinda KWANZA kisha unashinda mengine. Nukuu nyingine zinazoebdana na hiyo. ADUI NAMBA MOJA KATIKA MAISHA YAKO NI WEWE MWENYEWE.
  11. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Mawazo ya matajiri Vs mawazo ya masikini

    Mambo uliyo sema katika thread Yako hii yanatia hasira. Una wadhalilisha masikini wenzako.
  12. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Mawazo ya matajiri Vs mawazo ya masikini

    Acha kukariri maisha ,acha bange.
  13. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Kuna dada nadate nae, nilipanga kumuoa lakini naghairi

    😆😆😆hapo kwenye Lissu na maafande. Usifanye vichekesho vya kisiasa na mahusiano.
  14. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ukisikia mtu ana roho mbaya, Huwa unaelewa nini..?

    Nafikiri ni mtu asiyependa sio asiyeweza.
  15. Spiderman jr

    JamiiForums Tanzania Ukisikia mtu ana roho mbaya, Huwa unaelewa nini..?

    Ni msemo wa mjini. Hadi huku watu wanapenda kuitumia huo msemo. Unakuta hata mdogo wangu nikimnyima kitu na kumpq reason, eti anakunja kidole na kunambia Nina roho mbaya. Nimewahi kuambiwa Nina roho mbaya mara kama6 hivi.lakini sielewi wana maana ipi.
Back
Top Bottom