Recent content by Spider45

  1. S

    Ninahitaji Kazi

    Unaweza kuendesha Pikipiki? Una Valid driving licence? Kama Ndio Please DM
  2. S

    Tangazo la Kazi St Patrick Hill School Kiserian

    aisee hii Hatari sana kwa kweli
  3. S

    Naombeni ushauri wakuu

    Pole sana Mkuu wa haya yanayokusibu, Mwanamke akizungumza kuwa Hisia hana na wewe maanaake Hapo wewe ni Kaka yake au Mdogo wake!! Sasa utawezaje kuwa na Mahusiano na Ndugu simple!! Mkuu tafuta Mwanamke atakye kuwa na Hisia na Wewe yaani atakupenda acha Tabia ya Kuwa kama Kupe yaani...
  4. S

    Tendo siku moja ndo apate Mimba kweli, au nimepigwa?

    Selemani Umemgongea Demu mwana!! Seleman wee!!
  5. S

    Mama na Baba Mchungaji Walinitega

    Mkuu, Tafuta siku nzuri ambayo mkeo yuko sawa kichwani, zungunza nae vizuri kabisa hope atakuelewa coz wanawake ni walewale hii BORA, kuliko huyo Mama mchungaji aje kumwambia Mkeo itakuwa Hatari kubwa sana pia. Note: Hapo hakuna Siri tena Ni swala la Muda kila Kitu kuwa Wazi sasa anza wewe...
  6. S

    Nimekata tamaa, nimechoka! Naona haya maisha hayana faida!

    Mkuu, kwanza pole sana Kwa haya unayopitia, wachache wataelewa haya mambo aisee!! Nataka nikutie Moyo leo hii!! Mimi na Wife tumepitia Changamoto kubwa na Hii yako ni Nyepesi yaani Kuna Muda nashituka usingizini nakuta Wife analia inabidi nianze kumtia Moyo kwamba Tutapita Na hili pia, lakini...
  7. S

    Naombeni kazi. Maisha yamenigusa pabaya

    Adrian2716 njoo hapa faster wewe
  8. S

    Kwani wanawake kuna ulazima gani kutugaia umbea wenu wa mtaani tukiwa ndani??

    Mimi na Mke wangu tunawasema Watu wa ofisini kwangu na Yeye wa Ofisini kwake mpaka usingingi unatuchukua Then kesho wakaninisani baada ya hapo wapangaji wetu changanya na Marafiki zangu na yeye marafiki zake yani ndo hivyo Aisee so Brother relux na Karibu kwenye Ndoa Wajuba tunajua namna ya...
  9. S

    Wafanyakazi WATATU waliopo DAR (vijana smart) Wanahitajika HARAKA iwezekanavyo..

    Aisee hiv huyu jamaa hiz Nyuzi zake anandikaga kwa Kumanisha kweli? Mnashangaa hii ya Mshahara 200k anayo nyingine Mshahara 80k kwa mwezi kha!! Ata Mkoloni anakukataa kwamba wewe umezidi
  10. S

    Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani

    Mods futeni huu uzi coz hasira zimepanda!! Mwamba kakuamini wewe unampa x fedha??? Aisee yani wewe mimi ningekuwa Natumikia Mvua za Milele!! Pumbavu Mala nyingi.....
  11. S

    Cleaner/Mtu wa Usafi Ofisini Anahitajika

    Ichi sio Chanzo cha Ajira bali ni chanzo cha Mtu kujifunza Wizi!!
  12. S

    Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Wachache wataelewa hii kitu!! Lakini Mungu still mwaminifu.....
  13. S

    Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Tubate burudani kidogo!! Wakati tuna subili Next Ep
  14. S

    Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Naona kama nina "" URAIBU"" wa huu uzi kwani mara kwa mara nimekuwa nikichungulia aisee yaaani kama konda kutoa kichwa Nje na Kuingiza.....aiseee
  15. S

    Utafiti: Mitindo ya kujamiiana Inaweza kuvunja Uume Wako

    Acha hiyo!! Kuna hii inaitwa Mama kafuta tozo wee!!
Back
Top Bottom