Recent content by Spice girls

  1. Spice girls

    Uza na kununua

    Ninashamba la minazi liliopo kisarawe kwa yeyote mwenyekutaka nazi au kukodisha ani dm only business.
  2. Spice girls

    Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

    Kwa upande mwengine huo moto ni mipango yao binafsi ili waubadilishe huo mji wa LA kuwa smart city 2030,pia housing insurance wali cancel ili wasipate hasara pindi tu janga la moto litakapo anza.
  3. Spice girls

    Nani mkali wa kudance kati ya Chino wanaman vs Msami

    Damn u r missing alot in Tz hawa ndio madancer bora.
  4. Spice girls

    Nani mkali wa kudance kati ya Chino wanaman vs Msami

    Hao ni madancer wa Tz ambao wapo kwenye peak kwa sasa.
  5. Spice girls

    Nani mkali wa kudance kati ya Chino wanaman vs Msami

    Habari wana jf ,nani mkali kati Chino kidd vs Msami.
  6. Spice girls

    The Economist watoa utabiri wa michoro matukio yatakayotokea mwaka 2019

    Mkuu, vipi kuhusu huyu ndege aliebeba kifurushi cha barcode ana maana ipi.
  7. Spice girls

    The Economist watoa utabiri wa michoro matukio yatakayotokea mwaka 2019

    Na vipi kuhusu #me too iliyopo kifuani kwa huyo mtu
  8. Spice girls

    The Economist watoa utabiri wa michoro matukio yatakayotokea mwaka 2019

    Kweli kabisa lazima kutakua na kitu ndani yake
  9. Spice girls

    The Economist watoa utabiri wa michoro matukio yatakayotokea mwaka 2019

    Hakuna, ila angalia kwaumakini kuna ujumbe ndani yake
  10. Spice girls

    The Economist watoa utabiri wa michoro matukio yatakayotokea mwaka 2019

    Hivi karibuni jarida la The Economist wametoa utabiri wao kwa michoro wa matukio yatayojitokeza 2019 . Michoro hiyo ipo "cover" ya mbele. Kama picha inavyoonesha hapo chini, Résultats Google Recherche d'images correspondant à...
  11. Spice girls

    Saudia Arabia yaruhusu Tamasha la muziki

    Ny Angalia na hii
  12. Spice girls

    Saudia Arabia yaruhusu Tamasha la muziki

    Huu utawala wa Prince Salman amebadilisha mambo mengi
Back
Top Bottom