Recent content by speeding

  1. S

    Adha ya usafiri ruti ya Mawasiliano - Mbezi Louis

    Aseee hiyo njia ni janga ni hakuna kabisa daladala za Mawasiliano-Mbezi hasa mida ya jioni ya watu kutoka maofisini kurudi majumbani, ukitaka urahisi upande bajaji au kama ni una lengo la kufika hadi mbezi halafu uende njia ya malamba mawili ni bora mara elfu kumi upande daladala za Segerea...
  2. S

    Magonjwa ya akili: Tukutane humu kama una mtu wa karibu mwenye ugonjwa wa akili

    Write your reply...haya matatizo jamani ni ya kusikia kwa mwengine tu mimi Nina mdogo wangu anaumwa mwaka wa sita Sasa na keshalazwa hospital muhimbili zaidi ya miezi miwili na hakupata nafuu Bado tuna hangaika nae kwenye hospital na madaktar bingwa wa matatizo ya akili na kwenye Dua ila Bado...
  3. S

    Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    Simba wa vita analia kizembe hivyo atakuwa nyau wa vita sio simba
  4. S

    Totoresha

    0657214162
  5. S

    Namna mtaji wa 300,000 (mia tatu elfu/laki tatu) unavoweza kukutoa kimasomaso katika ufugaji

    Yaani paka anawavizia hadi wakiwa nje ya banda na ana technique balaa anawinda kwa kujificha chini ya nyasi yaani kama simba anavyowinda swala yaani copyright hadi nimempigia salute halafu mbaya zaidi kwa kuwa nishamfurumusha na mawe mara kadhaa basi ananijua akiniona hasogei ila nikimpa mgongo...
  6. S

    Namna mtaji wa 300,000 (mia tatu elfu/laki tatu) unavoweza kukutoa kimasomaso katika ufugaji

    Mimi nafuga kuku wakienyeji na siwaangalii kuhusu chanjo wala chakula kila kitu wanajitafutia wenyewe na hata banda lao sifungagi wanaingia na kutoka wenyewe tu yaani ni kama wanajifuga coz hamna mwenye muda nao sasa nataka niwe nao serious kuwafuga ila changamoto kubwa niliyo nayo nimegundua ni...
  7. S

    Nilichojifunza kwenye ndoa ya wazazi wangu

    Nop i mean it, i used to date a girl who was just like that and we got along pretty well, i like to be challenged sio demu ye kila kitu poa tu hata ukimdunda poa tu anakuwa anabore, japo akiwa mtata sana nako pia ishu sometimes akubali kucompromise
  8. S

    Nilichojifunza kwenye ndoa ya wazazi wangu

    Wow i have fallen in love with you, you are exactly the type i like
Back
Top Bottom