Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,510
- 4,224
Ni muda mrefu sasa uongozi wa jiji umekuwa ukilifumbia macho tatizo hili la kukosekana kwa usafiri wa daladala kati ya Mawasiliano na Mbezi.
Watu wanajaa na kukaa muda mrefu kituoni wakiwemo wanafunzi na wamama wajawazito wakisubiri daladala ambazo hazipo kwa kigezo cha kulazimisha kuunga trip au kupanda mwendokasi na ubaya zaidi ni kuwa hakuna mwendokasi ya Mawasiliano - Mbezi.
Si sahihi kuondoa magari ya Mbezi maana hata machache yanayotoka Makumbusho huwa yamejaa yanapofika Mawasiliano.
Naamini daladala zipo za kutosha isipokuwa ni uongozi kutokujua namna ya kuzigawa na kusababisha mateso kwa raia.
Watu wanajaa na kukaa muda mrefu kituoni wakiwemo wanafunzi na wamama wajawazito wakisubiri daladala ambazo hazipo kwa kigezo cha kulazimisha kuunga trip au kupanda mwendokasi na ubaya zaidi ni kuwa hakuna mwendokasi ya Mawasiliano - Mbezi.
Si sahihi kuondoa magari ya Mbezi maana hata machache yanayotoka Makumbusho huwa yamejaa yanapofika Mawasiliano.
Naamini daladala zipo za kutosha isipokuwa ni uongozi kutokujua namna ya kuzigawa na kusababisha mateso kwa raia.