kaibuka tena
Charles Stith. Ameambatana na ujumbe wa viongozi wafanyabiashara wa Kimarekani na wataalamu wa tiba ili kuangalia maeneo ya ushirikiano na kuadhimisha miaka 20 toka kuteuliwa Balozi.
Charles Kitwanga anaandaliwa kuwa rais ajae wa Tanzania baada ya Magufuli. Huyu ndio the second powerful man in Tanzania baada ya Magu kama Magu hatoongezewa muda ( Tafadhali rejea makala za Pasco wa JF juu ya udikteta wa Magu na anavyopenda power)
Lakini Magu katika ku consolidate power ndani...
Mh. Kitwana S. Kondo: Mheshimiwa Spika, naomba nikushuru sana.
Mheshimiwa Spika, naomba na mimi nimpongeze Mheshimiwa Rais kwa hotuba yake aliyoitoa tarehe 4 Novemba, 1998 hapa Bungeni. Hotuba hii Mheshimiwa Spika ina ukweli, ina usahihi na pia ina uungwana. (Makofi).
Mimi nataka ninukuu...
Kuna habari kuwa hawa wakurugenzi wa NSSF nao wamehojiwa na TAKUKURU kutokana na tuhuma za ubadhirifu na rushwa.
Magori ambaye ni Director wa Operations anatuhumiwa kuwa alipokea mabilioni toka kwa makampuni ya madini huko Geita wakati Eunice anatuhumiwa kupokea pesa kutoka makampuni mbali...
Partnership au JV agreement kati ya NSSF na Serikali inasemaje kuhusu financials na usimamizi?
Tafadhali tuelteee hicho kipengele
Kwa nini serikali haikutoa 40% ya pesa kama ilivyosema kwenye agreement?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.