Nakubaliana na wewe kwa hoja namba 4 tu kati ya hoja ulizotoa. Mambo mengine yote uliyoyaeleza ni sera yake mbovu ya ujamaa ndo ilimfanya astaafu hivyo. Hayo maisha yaliwezekana kwa mapadre tu tena wa enzi hizo. Kwa zama sasa huwezi kutushawishi tuongoze na kuishi maisha ya Nyerere.
Wakati mwingine unaonekana kama boya kweli, sasa hapa ndo umeandika nini? Wewe ni miongoni watu wenye hoja jadilifu hapa JF lakini ulichokiandika hapo juu ni hoja mfilisi
Kwa nini wasipeane shift kila siku wao tu, au kuna jambo tusilolijua wao wanalijua? Ukiona muuguzi anamng'ang'ania mgonjwa ujue hataki siri zake zitangazwe zijulikane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki.
Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa...
Aliyetoa tamko hana mamlaka ya kuitisha maandamano ya nchi nzima, ikiwa ya boss wake yalifail na ya mwanasheria wao yakaota mbawa, yeye ni nani hata afanikiwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani iwatawale wanabodi
Wadau ni wakati duru za siasa na demokrasia barani Afrika zikitawaliwa na maandamano pamoja na matamko mbalimbali, hali hii ni tofauti sana hapa kwetu Tanzania. Kwetu hutekelezwa kwa weledi mkubwa sana makundi ya kiharakati tofauti kabisa na vyama vya siasa.
Kenya...
Nakuunga mkono, hilo taifa limekuwa na kasumba ya midia zake kuchafua sifa ya nchi yetu na wakati mwingine kutembelea nyota yetu. Kwa hili serikali isiwe proactive
Wanabodi salamu ziwatangulieni nyote
Nidhahiri kabisa kila mmoja wetu ameshapata muda kutosha kutafakari kauli za viongozi wetu walizozitoa pale Chimwaga jana.
Binafsi nimeitafakari kauli iliyotolewa na waziri wa nchi UTUMISHI NA UTAWALA BORA akirejelea masharti yaliyomo katika ibara ya 67(1)...
Ikiwa umefikiria kama nilivyofikiria mimi basi umeelewa nilichomaanisha, kama kama fikra zako zimekutuma tofauti mada haikukulenga wewe mkuu. Ata hivyo nimependa mtazamo wako hauko mbali na mada yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.