Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Leo jioni wana chama zaidi ya 50 wa CCM wameamua kuachana na porojo na uongo za Chama cha Mapinduzi na kuingia chama cha Chadema.
Wakihojiwa mbele ya Diwani na Mwenyekiti wa Kata ya Sombetini wana sema wamegundua lengo la chama cha CCM si maendeleo Bali ni kuuua upinzani kwa hila na kuhonga viongozi wa upinzani.
Sasa wamesema ni bora kama CCM imeamua kufanya hila hizo badala ya maendeleo basi wao kwa hiari yao wameamua kuiunga mkono chadema, kwani bila chadema watanzania wasingelijua nchi hii inavyotafunwa na CCM.
Wakihojiwa mbele ya Diwani na Mwenyekiti wa Kata ya Sombetini wana sema wamegundua lengo la chama cha CCM si maendeleo Bali ni kuuua upinzani kwa hila na kuhonga viongozi wa upinzani.
Sasa wamesema ni bora kama CCM imeamua kufanya hila hizo badala ya maendeleo basi wao kwa hiari yao wameamua kuiunga mkono chadema, kwani bila chadema watanzania wasingelijua nchi hii inavyotafunwa na CCM.