Recent content by Sozo_

  1. Sozo_

    Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030 tunzeni huu Uzi

    Ngoja tuone
  2. Sozo_

    Home boy fanya lile ambalo lipo ndani ya uwezo wako

    Sikio linalosikia lisikie ushauri huu na kuutendea kazi
  3. Sozo_

    Wanawake wa hivi wanakata stimu za kuwagegeda

    Hili ni tumbo la uzazi, upuuzi wake ni kujipiga picha na kupost.
  4. Sozo_

    Kumshukuru Mungu kwa zawadi ya "Uhai" Hakuzuii kifo. Ushukuru, Usishukuru, kufa kupo palepale

    Kwako ni la kijinga, kwake ni jambo lisilo la kijinga. Acha aendelee na utaratibu wake.
  5. Sozo_

    Namshauri Jaji Chande akimbie nchi, akiwa nje atueleze ukweli kuhusu uchunguzi wao

    Tunajulikana kwa kusahau baada ya muda mfupi, hilo wazo la kukimbia hana, na akiwa nalo hizo nguvu hana.
  6. Sozo_

    Huu mchezo wa kufukuza kuku ufutwe. Ni udhalilishaji na ukatili kwa wanyama

    Ukatili ulio halali, hakuna kosa kuchinja na kula.
  7. Sozo_

    Huu mchezo wa kufukuza kuku ufutwe. Ni udhalilishaji na ukatili kwa wanyama

    Mwisho utasema kuchinja kuku ni kitendo cha kikatili
  8. Sozo_

    Tuacheni dhihaka na matusi

    Ushauri mzuri ila kila mmoja anafanya kile anajisikia
  9. Sozo_

    Ni kweli filamu ya Ottoman inaoneshwa Azam tv ili kuudhalilisha ukristo?

    Kisemwacho kipo, kama hakipo basi kinakuja
Back
Top Bottom