Recent content by Sozo_

  1. Sozo_

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hatuwapeleki kula raha, hivyo vitambi vikatoke

    Labda wanyang'anywe magari
  2. Sozo_

    JamiiForums Tanzania Hata km ni masharti ya Mganga msifanye hivi

    Usafi ni muhimu kwa kila mtu
  3. Sozo_

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Meya wa Dar Awaita Wananchi Kutoa Ushahidi Wa Ghasia Za Oktoba 29

    Wananchi wanasemaje
  4. Sozo_

    JamiiForums Tanzania Simu Inauzwa

    Kila la heri
  5. Sozo_

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 2, Septemba 2026

    Manyanza ametusaidia, kabla ya hapa tulikuwa tunazama X kwa Hilda, sasa Manyanza yupo haraka zaidi ya Hilda ndio maana tumezama humu. Ukilinganisha unaona tofauti ndogo sana jambo ambalo ni kawaida katika uandishi.
  6. Sozo_

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 2, Septemba 2026

    Nilikuwa na shaka na Mnyika, ila ameenda vizuri, Heche yupo vizuri sana sema huwa hapendi upuuzi, na hapa lazima wamwingizie upuuzi ili ajae upepo... Tuamini atajengwa vizuri.
  7. Sozo_

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 2, Septemba 2026

    Umeeleza vyema, naona wamesikiliza maoni yetu na kuyafanyia kazi, sasa uzi unasoma kwa usahihi.
  8. Sozo_

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 2, Septemba 2026

    Asanteni sana JamiiForums kusikiliza maoni yetu na kumpa Manyanza stahili yake, uzi sasa unasoma wa Manyanza.
  9. Sozo_

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 2, Septemba 2026

    Kwenye dunia ya sasa hili kueleweka kwa umma bila kuwa na shaka nalo ni ngumu sana
  10. Sozo_

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 2, Septemba 2026

    Sio kana kwamba hawajui wanachofanya walishapanga, sasa wamekutana na upande wa mshtakiwa wamejipanga mara mbili yake.
  11. Sozo_

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 2, Septemba 2026

    Usiache mkuu, dawa ya hili ni kuwaambia waache hii tabia ... Ikishindikana ndio uchukue uamuzi mwingine
Back
Top Bottom