Manyanza ametusaidia, kabla ya hapa tulikuwa tunazama X kwa Hilda, sasa Manyanza yupo haraka zaidi ya Hilda ndio maana tumezama humu. Ukilinganisha unaona tofauti ndogo sana jambo ambalo ni kawaida katika uandishi.
Nilikuwa na shaka na Mnyika, ila ameenda vizuri, Heche yupo vizuri sana sema huwa hapendi upuuzi, na hapa lazima wamwingizie upuuzi ili ajae upepo... Tuamini atajengwa vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.