Habari Wakuu,
Nimevutiwa sana na hizi gari za Peugeot, naomba kupata taarifa kadhaa kuhusiana na hizi gari ikiwemo uimara wake na upatikanaji wa vipuri (spare parts) zake kwa hapa Tanzania.
Sio malezi huwa wana ulimbukeni wa mjini mkuu pia wanaroho mbaya. Kifupi hawa watu hawapendi hata uishi naye kwa kiwango gani akiamua kufanya lake utabaki unastaajabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.