Kuna wanaume ukiwaonyesha upo so in love na unamuhitaji sana lazima wakutese, my dear hebu achana na hizo shits...
Achana naye na utulie, acha kukimbilia kweny mahusiano kisa tu unaona wengine wapo! Mwanaume atakuja tu kwa muda wake na atakupenda
HahhaH, why hukunishtua mdogo wang tukashangae wote lol!
Bora hata huyo mweny hyo ndinga, wengne wana vigari vya mkopo na promotion ila still wanahis wanashobokewa...
My dear hapana, sometimes huwa inatokea kwa wasichana! Hii ishu ipo kisayansi zaid, inawezekana wala hajafanya kitu chochote kibaya...
Ongea naye tu vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.