Nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha, nipo njia panda

wenalitha

Member
Apr 24, 2016
60
48
Habari waungwana,

Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 23 nipo chuo UDSM mwaka wa pili. Shida niliyonayo nahitaji ushauri wenu.

Hapa nilipo nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha. Kiukweli wote siwapendi ila tu naona nisije zeekea home bora niolewe ila shida nashindwa kuamua cause wote wananisaidia sana.

Huyu mmoja amenisaidia sana katika shida za kimaisha kiujumla kuanzia familia yangu ikipata shida yeye ndiyo huwa msaada wetu mkubwa ila huyu mwingine ni msaada mkubwa kwa maisha yangu ya chuo ni msaada mkubwa kwa masomo cause amenitangulia miaka miwili.

Sasa sielewi mwenzenu nisaidieni.
 
Mbona kiumri we bado m-bichi kabisa?? Sielewi kwanin unaharakia ndoa kiivyo mpaka kutaka kuolewa na watu usiowapenda kabisa.... Acha papara, jitunze, maliza kwanza chuo atatokea tu utakaemwelewa zaid
 
Habari waungwana,

Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 23 nipo chuo UDSM mwaka wa pili. Shida niliyonayo nahitaji ushauri wenu.

Hapa nilipo nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha. Kiukweli wote siwapendi ila tu naona nisije zeekea home bora niolewe ila shida nashindwa kuamua cause wote wananisaidia sana.

Huyu mmoja amenisaidia sana katika shida za kimaisha kiujumla kuanzia familia yangu ikipata shida yeye ndiyo huwa msaada wetu mkubwa ila huyu mwingine ni msaada mkubwa kwa maisha yangu ya chuo mpaka kuna wakati niliwahi kuumwa ye ndo alinisaidia kunitolea damu na ni msaada mkubwa kwa masomo cause amenitangulia miaka miwili.

Sasa sielewi mwenzenu nisaidieni.
Unasaidiwaje wakat uelew unalolifanya.
1. Umethubutu kuchezea wanaume
2. Hivi chuo mnafundishwaga upumbav
3....
4.....
 
Habari waungwana,

Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 23 nipo chuo UDSM mwaka wa pili. Shida niliyonayo nahitaji ushauri wenu.

Hapa nilipo nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha. Kiukweli wote siwapendi ila tu naona nisije zeekea home bora niolewe ila shida nashindwa kuamua cause wote wananisaidia sana.

Huyu mmoja amenisaidia sana katika shida za kimaisha kiujumla kuanzia familia yangu ikipata shida yeye ndiyo huwa msaada wetu mkubwa ila huyu mwingine ni msaada mkubwa kwa maisha yangu ya chuo mpaka kuna wakati niliwahi kuumwa ye ndo alinisaidia kunitolea damu na ni msaada mkubwa kwa masomo cause amenitangulia miaka miwili.

Sasa sielewi mwenzenu nisaidieni.
Hiki chuo tokea yule mkwere a.k.a msoga airline awe mkuu wa chuo hali imekua mbaya sana
 
Habari waungwana,

Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 23 nipo chuo UDSM mwaka wa pili. Shida niliyonayo nahitaji ushauri wenu.

Hapa nilipo nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha. Kiukweli wote siwapendi ila tu naona nisije zeekea home bora niolewe ila shida nashindwa kuamua cause wote wananisaidia sana.

Huyu mmoja amenisaidia sana katika shida za kimaisha kiujumla kuanzia familia yangu ikipata shida yeye ndiyo huwa msaada wetu mkubwa ila huyu mwingine ni msaada mkubwa kwa maisha yangu ya chuo mpaka kuna wakati niliwahi kuumwa ye ndo alinisaidia kunitolea damu na ni msaada mkubwa kwa masomo cause amenitangulia miaka miwili.

Sasa sielewi mwenzenu nisaidieni.
Inaelekea hata mmoja akikuoa basi utaachika maana unaonekana wewe ni kispark...
 
Habari waungwana,

Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 23 nipo chuo UDSM mwaka wa pili. Shida niliyonayo nahitaji ushauri wenu.

Hapa nilipo nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha. Kiukweli wote siwapendi ila tu naona nisije zeekea home bora niolewe ila shida nashindwa kuamua cause wote wananisaidia sana.

Huyu mmoja amenisaidia sana katika shida za kimaisha kiujumla kuanzia familia yangu ikipata shida yeye ndiyo huwa msaada wetu mkubwa ila huyu mwingine ni msaada mkubwa kwa maisha yangu ya chuo mpaka kuna wakati niliwahi kuumwa ye ndo alinisaidia kunitolea damu na ni msaada mkubwa kwa masomo cause amenitangulia miaka miwili.

Sasa sielewi mwenzenu nisaidieni.
Fanya ana-ana-ana-do.................... Atakayeshinda mpige kibuti
 
We sema unataka kuolewa tu kwa sababu hyo ndio hobby yenu siku hizi,mapenzi ya siku hizi ni kama movie unaangalia ukiichoka unatupilia mbali
 
Enzi hizo primary ukikosa jibu unanyanyua uso juu kisha unalengesha kalamu itakapo tua ndio jibu hilo sasa sijui kama mpaka miaka hii unaweza kujaribu inaweza kukusaidia.
 
Huwa najikuta tu siwapendi wasichana age hii 20-25. Ni wasumbufu hawajielewei hata kidogo. Wanajiona wazuri wanataka watembee na kila mtu.

Ona mfano huyu utumbo aloandika. Nakuhakikishia hata ukiolewa, huji kuacha kuchepuka wewe, we utakuwa chakula ya mtaa. Na kuna siku after few years akili zikishasogea, tutaletewa Uzi wa kusaidia jinsi ya kuacha kujiua..
 
Back
Top Bottom