Recent content by Sophoganyi

  1. S

    JamiiForums Tanzania "Wakati Shetani anaamua kuharibu jamii, huanza na wanawake.”

    Sio kweli bali vice versa
  2. S

    JamiiForums Tanzania Shamba la mitik linauzwa lipo Tanga Korogwe kijiji mgambo

    Akupe na 30% ya hio 150 alafu ile 200 ni yako pia. Shikamoo dalali
  3. S

    JamiiForums Tanzania Je unahitaji msimamizi wa mitandao ya kijamii (social media manager)

    Vipi bando ni juu ya nani. Ba idadi ya posts ni ngapi per day mtandao yote au baadhi
  4. S

    JamiiForums Tanzania Uagizaji magari nje ni kufuru

    Pesa ipo mtaani ni vile watu tunataka tukae tuu muamala usome kwa simu. Hustlers wanatengeneza hela nzuri mtaani saivi
  5. S

    JamiiForums Tanzania Private schools zinadai pesa ya remedial class kwa watoto wa darasa la pili , school fees inafanya kazi gani ?

    Rimidyo ya primary ndio ikoje hio. Nakumbuka nikiwa class 6 kuna ile mitihani ya cluster za kata shule kama 12. Sasa kuna mtihani nilipewa majibu na mwalimu kule chooni 100% na bado sikutoboa. Sasa sijui waalimu ma wao vilaza kwa mitihani wanayotunga au izo grade ni just to fill the timetable
  6. S

    JamiiForums Tanzania Matajiri, Watoto wa Mjini, Wababe na Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha

    Ni Muda sasa David Damian Mulokozi awepo kwa list
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Humu watu wengi mnavuta bangi.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Operation Barracuda: "Mission hatari ya kijasusi nchini Kongo"

    Ahsante mkuu
  9. S

    JamiiForums Tanzania Lissu ulisema tutashitakiwa MIGA

    Mkuu iyo M30 ni awamu moja ziko awamu 3. Tanzania iliamua kulipa milion 90 USD kwa kuwa kulikuwa na hatari ya kudaiwa dola za Marekani milioni 109.5 kama ilivyokuwa imetolewa na ICSID mwezi Februari 2024. Malipo haya yako katika vipande vikuu vitatu, na Tanzania itakuwa na muda hadi march 2025...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Sifa za Mshangazi

    Alaf liwe linakula na mirungi. Vijana mtakufa kabla ya utu uzima
  11. S

    JamiiForums Tanzania Wazee wa zamani walikuwa Fighters! Maisha yalikuwa magumu sana

    Maisha ni haya haya tuu. Mtu hakuwa na internet wala simu ila alikuwa na mbuzi, ngombe kuku miti ya matunda hata kwa jirani anapata bure. Wanyama pori ilikuwa mnakimbiza mnaua tuu mnakula nyama choma na pombe za asili inayobaki mnakausha. Hapakuwa na maradhi kama karne hizi. So maisha ni yale...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kuna familia zina laana ya asili

    Hii ni kitu kabisa
  13. S

    JamiiForums Tanzania Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    I'll be back
Back
Top Bottom