Recent content by sonzawileme

  1. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Usiwastueeeeeeeee
  2. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Letaa habarii letaaa
  3. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na mgonjwa hospitali akikutuma kitu dukani, usiende

    Wengi ni mashuhuda wa hilo na vinahusiana na uwezo Wa Mungu na endapo utashuhudia tukio lile laweza kukutesa saana maishani mwakoo hususani kindoto since mgonjwa ni Ndgu yako wa karibu yaani MPENDWA WAKO mshukuru Allah hukushuhudia roho yake ikitoka
  4. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

    Unaweza kuondoa kodi pia waliyoweka kariakoo ila usinihusishe .....
  5. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kukatia nyasi na mashine ya kupalilia mashamba | brush cutter machine.

    Nitafute bas number nimetoa hapo juu
  6. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Mashine ya kukatia nyasi na mashine ya kupalilia mashamba | brush cutter machine.

    Mwenye uzoefu na mashine hiyo tafadhari nicheck 0615333551 nataka niinunue
  7. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Biashara gani ndogo kwa uwekezaji mdogo, inaweza kukupa faida ya shilingi 5000 kwa siku?

    Kama upo Dar unanunua mafuta dumu au ndoo wanauza 70000 unapima kwa elfu nne lita sokoni bas kila siku utalala na elfu kumi na ndoo utazikosanya utauza jumla sichini ya elfu nne kila ndoo biashara ni nyingi
  8. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mimi siungi mkono maandamano. Huwezi kushindana na Dola. Tutavuna vifo na vilema Dola itatamalaki na TANZANIA itabaki

    Mkipata Ajarii mkabaki vilema mnamshukuru Allah ila Mkifa kabisa Msiba hutamalakii
  9. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Kwanini viongozi wa huwa wanasisitiza amani bila Kutaja Neno HAKI

    Haki ni Tunda la Mungu Pekee kwa binaadamu ni kichaka cha all evil haliwezi kupendwa neno hilo-Muamin Muumba wako Itatosha
  10. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Wakuu Kikwete hajambo huko? Anaendeleaje? Mbona kimya kimetanda sana?

    Leo yupo na Nchimbi ondoa taharuki siku ikifika atarejea kwake Allah
  11. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole na Magufuli, Wazalendo wa kwelikweli. Kama Taifa tumepoteza pakubwa sana

    So sad no way u can explain from nothing gain, Tumuombee na wenye nguvu wafanye wanaloweza na wenye uwezo wamalize shida iliyopo (mkanganyiko)
  12. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Mliokua mnauliza usalama wa Britanicca huyo hapo na wengine wakasema ni polepole dunia hii nchii hii, Wazalendo Bado wapo wengii, Mungu ataliinua Taifa
  13. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Chips tamu ana hofu, anajua akiongea Leo, hajui kesho Mdunguaji atakuja na lipi!

    Aziza wa rostam vs lepolepo nimekusoma sema Aziza hana punch na ataleta taharuki balaa lepolepo kajipanga
  14. sonzawileme

    JamiiForums Tanzania Tetesi: 2030 Rais ni Nchimbi na Waziri Mkuu ni Ridhiwani

    Kuwaza hata neno Yamungu Mengi hapana
Back
Top Bottom