Recent content by sonzawileme

  1. sonzawileme

    Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

    Unaweza kuondoa kodi pia waliyoweka kariakoo ila usinihusishe .....
  2. sonzawileme

    Mashine ya kukatia nyasi na mashine ya kupalilia mashamba | brush cutter machine.

    Mwenye uzoefu na mashine hiyo tafadhari nicheck 0615333551 nataka niinunue
  3. sonzawileme

    Biashara gani ndogo kwa uwekezaji mdogo, inaweza kukupa faida ya shilingi 5000 kwa siku?

    Kama upo Dar unanunua mafuta dumu au ndoo wanauza 70000 unapima kwa elfu nne lita sokoni bas kila siku utalala na elfu kumi na ndoo utazikosanya utauza jumla sichini ya elfu nne kila ndoo biashara ni nyingi
  4. sonzawileme

    GE2025 Mimi siungi mkono maandamano. Huwezi kushindana na Dola. Tutavuna vifo na vilema Dola itatamalaki na TANZANIA itabaki

    Mkipata Ajarii mkabaki vilema mnamshukuru Allah ila Mkifa kabisa Msiba hutamalakii
  5. sonzawileme

    Kwanini viongozi wa huwa wanasisitiza amani bila Kutaja Neno HAKI

    Haki ni Tunda la Mungu Pekee kwa binaadamu ni kichaka cha all evil haliwezi kupendwa neno hilo-Muamin Muumba wako Itatosha
  6. sonzawileme

    Wakuu Kikwete hajambo huko? Anaendeleaje? Mbona kimya kimetanda sana?

    Leo yupo na Nchimbi ondoa taharuki siku ikifika atarejea kwake Allah
  7. sonzawileme

    Humphrey Polepole na Magufuli, Wazalendo wa kwelikweli. Kama Taifa tumepoteza pakubwa sana

    So sad no way u can explain from nothing gain, Tumuombee na wenye nguvu wafanye wanaloweza na wenye uwezo wamalize shida iliyopo (mkanganyiko)
  8. sonzawileme

    Hivi hamsomi mazingira? No way tutamuona akiwa live tena!

    Mliokua mnauliza usalama wa Britanicca huyo hapo na wengine wakasema ni polepole dunia hii nchii hii, Wazalendo Bado wapo wengii, Mungu ataliinua Taifa
  9. sonzawileme

    Chips tamu ana hofu, anajua akiongea Leo, hajui kesho Mdunguaji atakuja na lipi!

    Aziza wa rostam vs lepolepo nimekusoma sema Aziza hana punch na ataleta taharuki balaa lepolepo kajipanga
  10. sonzawileme

    Tetesi: 2030 Rais ni Nchimbi na Waziri Mkuu ni Ridhiwani

    Kuwaza hata neno Yamungu Mengi hapana
  11. sonzawileme

    Huyu mdada nampenda nimetumia njia zote kanikataa sasa imebaki njia moja tu

    Ngojea wakimzalisha ww utampata tu najua nawe unataka kuchezea tu kendeeeeeee......
  12. sonzawileme

    Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    Age 39, carrier psychologist, runner all over the suddenly but on orientation, some how may run necessarily life consumptions ila nipo Dar saana mara chache Mtwala na Mbeya ua welcome 🙏
Back
Top Bottom