Wengi ni mashuhuda wa hilo na vinahusiana na uwezo Wa Mungu na endapo utashuhudia tukio lile laweza kukutesa saana maishani mwakoo hususani kindoto since mgonjwa ni Ndgu yako wa karibu yaani MPENDWA WAKO mshukuru Allah hukushuhudia roho yake ikitoka
Kama upo Dar unanunua mafuta dumu au ndoo wanauza 70000 unapima kwa elfu nne lita sokoni bas kila siku utalala na elfu kumi na ndoo utazikosanya utauza jumla sichini ya elfu nne kila ndoo biashara ni nyingi
Mliokua mnauliza usalama wa Britanicca huyo hapo na wengine wakasema ni polepole dunia hii nchii hii, Wazalendo Bado wapo wengii, Mungu ataliinua Taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.