Recent content by sony2

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kosa la uhaini kwa mujibu wa sheria ni kufungwa kifungo cha maisha, kunyongwa hadi kufa au vyote kwa pamoja

    Na uhaini kwa mujibu wa Sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania uhaini ni kukusudia kumuua rais makamu na primer Minister sasa alitaka kumuua nani?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kifungu 308 cha CPA anachotumia Katunga kinahusu SHAHIDI MPYA siyo USHAHIDI MPYA

    Basi jaji mkuu ataenda kubadilisha sheria kama ya mashahidi wa siri
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mahakama ikikubali kupokea Notisi inayoongelea mauaji ya 29/10, itabidi watuambie nani aliruhusu Watanzania kuuawa

    Tupe tafsiri ya kukinukisha maana wasanii kila siku wanasema watakinukisha ile mbaya
  4. S

    JamiiForums Tanzania Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Y Ya kuvunja vitofali
  5. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ya miaka hii nalinganisha na kipindi anguko la NCCR lilikuja, End of an era

    Amewapa vidonge vya ngoma miaka 30 halafu unasema hana misaada
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Police wa dunia haoo nawapenda saana popote duniani wanafika! Waje na Tanzania kisha wabebe na uranium yote tumechoka makelele ya mwigulu
  7. S

    JamiiForums Tanzania ITV mnatumika kibwege sana, kinachoendelea hapa nchini ni wananchi kuchoka box la kura kuchezewa

    Hata mi nashangaa eti wanasema maandamano yamechochewa na vita ya kiuchumi wakati maandamano yamesababishwa na uchaguzi mbovu
  8. S

    JamiiForums Tanzania Watanganyika tutawapa ushirikiano wa kila hali na namna Mahakama ya ICC hadi wafuatao muishie jela na iwe fundisho milele

    Viongozi wote wa tume ya uchaguzi na wakili nassoro katuga wawemo kwenye mashtaka
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ushahidi wa watu 11 Walioongoza Mauaji ya 29 Oktoba 2025 Nchini Tanzania Umepatikana. Waliua watu ELFU 10

    Mauaji haya yamesababishwa na CCM kutotaka uchaguzi uwe huru na haki
  10. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Safari hii waweke vyakula ndani maana njaa ndio ilituangusha
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku utukome. Ni heri ukae kimya kujitunzia heshima yako kuliko kukubali kufanya Upotoshaji

    Huyu butiku helicopter ya jeshi kutumika kampeni za CCM wamenyamaza, viongozi wa upinzani kuwekwa rumande hajakemea ila Capt Tesha kachukia saana
  12. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tusiwaze kuhusu maandamano ya Oktoba 29, Hayawezekani. Hayana ajenda

    Agenda ni uminywaji wa haki za kibinadamu ndio agenda kuu
  13. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uteuzi UDART: Pius Ng'ingo Mkurugenzi Mkuu, Waziri Kindamba atenguliwa. Said Tunda ateuliwa Mtendaji Mkuu, Dkt. Kihamia atenguliwa

    Kumbe watanzania tukiamua uchaguzi uwe huru utakuwa huru! Tuamke sasa!
Back
Top Bottom