Tunataka katiba mpya ili tufaidi matunda mazuri ya nchi maana ya sasa imempa RAIS madaraka makubwa kama dhahabu ikipatikana kwenye shamba langu linataifishwa na mimi sifaidiki na chochote
Simba hadi anajichagulia marefa wa kuchezesha mpira hiyo si aibu! Arsenal yule Michael Oliver uwa anakomesha match zao zote akichezesha yeye ila hawajawahi kumkataa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.