Recent content by sony2

  1. S

    Hukumu ya kosa la uhaini kwa mujibu wa sheria ni kufungwa kifungo cha maisha, kunyongwa hadi kufa au vyote kwa pamoja

    Na uhaini kwa mujibu wa Sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania uhaini ni kukusudia kumuua rais makamu na primer Minister sasa alitaka kumuua nani?
  2. S

    Kifungu 308 cha CPA anachotumia Katunga kinahusu SHAHIDI MPYA siyo USHAHIDI MPYA

    Basi jaji mkuu ataenda kubadilisha sheria kama ya mashahidi wa siri
  3. S

    Tundu Lissu: Mahakama ikikubali kupokea Notisi inayoongelea mauaji ya 29/10, itabidi watuambie nani aliruhusu Watanzania kuuawa

    Tupe tafsiri ya kukinukisha maana wasanii kila siku wanasema watakinukisha ile mbaya
  4. S

    CHADEMA ya miaka hii nalinganisha na kipindi anguko la NCCR lilikuja, End of an era

    Amewapa vidonge vya ngoma miaka 30 halafu unasema hana misaada
  5. S

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani

    Police wa dunia haoo nawapenda saana popote duniani wanafika! Waje na Tanzania kisha wabebe na uranium yote tumechoka makelele ya mwigulu
  6. S

    ITV mnatumika kibwege sana, kinachoendelea hapa nchini ni wananchi kuchoka box la kura kuchezewa

    Hata mi nashangaa eti wanasema maandamano yamechochewa na vita ya kiuchumi wakati maandamano yamesababishwa na uchaguzi mbovu
  7. S

    Watanganyika tutawapa ushirikiano wa kila hali na namna Mahakama ya ICC hadi wafuatao muishie jela na iwe fundisho milele

    Viongozi wote wa tume ya uchaguzi na wakili nassoro katuga wawemo kwenye mashtaka
  8. S

    Ushahidi wa watu 11 Walioongoza Mauaji ya 29 Oktoba 2025 Nchini Tanzania Umepatikana. Waliua watu ELFU 10

    Mauaji haya yamesababishwa na CCM kutotaka uchaguzi uwe huru na haki
  9. S

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Safari hii waweke vyakula ndani maana njaa ndio ilituangusha
  10. S

    Mzee Butiku utukome. Ni heri ukae kimya kujitunzia heshima yako kuliko kukubali kufanya Upotoshaji

    Huyu butiku helicopter ya jeshi kutumika kampeni za CCM wamenyamaza, viongozi wa upinzani kuwekwa rumande hajakemea ila Capt Tesha kachukia saana
  11. S

    GE2025 Tusiwaze kuhusu maandamano ya Oktoba 29, Hayawezekani. Hayana ajenda

    Agenda ni uminywaji wa haki za kibinadamu ndio agenda kuu
Back
Top Bottom