Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
sony2
Recent content by sony2
S
Hukumu ya kosa la uhaini kwa mujibu wa sheria ni kufungwa kifungo cha maisha, kunyongwa hadi kufa au vyote kwa pamoja
Na uhaini kwa mujibu wa Sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania uhaini ni kukusudia kumuua rais makamu na primer Minister sasa alitaka kumuua nani?
sony2
Post #49
Mar 22, 2026
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Kifungu 308 cha CPA anachotumia Katunga kinahusu SHAHIDI MPYA siyo USHAHIDI MPYA
Basi jaji mkuu ataenda kubadilisha sheria kama ya mashahidi wa siri
sony2
Post #3
Feb 24, 2026
Forum:
Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)
S
Tundu Lissu: Mahakama ikikubali kupokea Notisi inayoongelea mauaji ya 29/10, itabidi watuambie nani aliruhusu Watanzania kuuawa
Tupe tafsiri ya kukinukisha maana wasanii kila siku wanasema watakinukisha ile mbaya
sony2
Post #75
Feb 23, 2026
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani
Y Ya kuvunja vitofali
sony2
Post #97
Jan 3, 2026
Forum:
International Forum
S
CHADEMA ya miaka hii nalinganisha na kipindi anguko la NCCR lilikuja, End of an era
Amewapa vidonge vya ngoma miaka 30 halafu unasema hana misaada
sony2
Post #38
Jan 3, 2026
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
CHADEMA ya miaka hii nalinganisha na kipindi anguko la NCCR lilikuja, End of an era
Endelea kuota
sony2
Post #10
Jan 3, 2026
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe wakamatwa na vikosi vya Marekani
Police wa dunia haoo nawapenda saana popote duniani wanafika! Waje na Tanzania kisha wabebe na uranium yote tumechoka makelele ya mwigulu
sony2
Post #50
Jan 3, 2026
Forum:
International Forum
S
ITV mnatumika kibwege sana, kinachoendelea hapa nchini ni wananchi kuchoka box la kura kuchezewa
Hata mi nashangaa eti wanasema maandamano yamechochewa na vita ya kiuchumi wakati maandamano yamesababishwa na uchaguzi mbovu
sony2
Post #6
Nov 28, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Watanganyika tutawapa ushirikiano wa kila hali na namna Mahakama ya ICC hadi wafuatao muishie jela na iwe fundisho milele
Viongozi wote wa tume ya uchaguzi na wakili nassoro katuga wawemo kwenye mashtaka
sony2
Post #13
Nov 26, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Ushahidi wa watu 11 Walioongoza Mauaji ya 29 Oktoba 2025 Nchini Tanzania Umepatikana. Waliua watu ELFU 10
Mauaji haya yamesababishwa na CCM kutotaka uchaguzi uwe huru na haki
sony2
Post #79
Nov 19, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
PostGE2025
Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya
Safari hii waweke vyakula ndani maana njaa ndio ilituangusha
sony2
Post #780
Nov 8, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Hivi Tanzania nani akifa atapata heshima ya upendo kama ninayoiona kwa Raila Odinga
Lissu
sony2
Post #73
Oct 19, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
Mzee Butiku utukome. Ni heri ukae kimya kujitunzia heshima yako kuliko kukubali kufanya Upotoshaji
Huyu butiku helicopter ya jeshi kutumika kampeni za CCM wamenyamaza, viongozi wa upinzani kuwekwa rumande hajakemea ila Capt Tesha kachukia saana
sony2
Post #16
Oct 5, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
GE2025
Tusiwaze kuhusu maandamano ya Oktoba 29, Hayawezekani. Hayana ajenda
Agenda ni uminywaji wa haki za kibinadamu ndio agenda kuu
sony2
Post #10
Oct 3, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
S
GE2025
Uteuzi UDART: Pius Ng'ingo Mkurugenzi Mkuu, Waziri Kindamba atenguliwa. Said Tunda ateuliwa Mtendaji Mkuu, Dkt. Kihamia atenguliwa
Kumbe watanzania tukiamua uchaguzi uwe huru utakuwa huru! Tuamke sasa!
sony2
Post #27
Oct 2, 2025
Forum:
Jukwaa la Siasa
sony2
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register