Haya mawazo sio ya Ku entertain kabisa kwa mtu anayejielewa! Wa bunge wanaochaguliwa ni wawakilishi wa watanzania wote na ndo maana Hata fisiem wanawapigia kura so suala la kuhoji mchakato c la CDMA tu mtu yeyote anaweza kutoa anachohisi ni sahihi japo co lazma ushauri wake ukubaliwe. Serikari...
Hii inakumbusha uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, ccm walitumia nguvu nyingi sana kuhakikisha masha anatwaa kwa Mara nyingine jimbo la nyamagana kwa kila mbinu lkn ikawa imeshindikana wakajikuta hadi la ilemela walilojua litachukuliwa kirahisi tu nalo wakashindwa, CDMA wanajua fika cheche za wenje na...
Mm bnafsi huwa najiuliza; HV lugha ya kiingereza ina marufuku ya kutokosewa au lugha zingine nazo tunazozitumia as 2nd languages nazo huruhusiwi kukosea? Kma ni zote kile kiswahili alichokua anaongea raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta cku ya uzinduzi wa mradi wa uchimbaji wa mafuta kilikuwa sahihi...
Ckuamini mtu tulie ahidiana akiwa form one mm form tu! Mnamaliza chuo kikuu ananiambia kuolewa na ww itakuwa ngumu!!! Hapo ni baada ya yy kupata ajira ya certificate. Baada ya cku kadhaa nackia wameleta mahari kwao kwa mshikaji nnaye mfaham. Tangia hapo nikaaminu hawa wenzeti wa jinsia jirani co...
Kiukweli nimegundua utu kwa watanzania wengi umeanza kupungua wote tumekuwa wakuendeshwa kwa mihemko! Nani humu hajawahi kukosea mpaka kumwona mwenzio ndo kafanya kitendo cha kinyama kisichohitaji msamaha? Mbona mtu anaua lkn kesi zipo Mara mbili kwamba kaua kwa kukusudia au bila kukusudia, hebu...
Nashindwa kuelewa vyombo vya ulinzi na usalama wa RAIA hapa nchini, hivi wapo kulinda amani au wapo tukio kutokea wachukue hatua? Uwanjani wapo viti vikang'olewa na hapo wanalipwa eti walinzi!!! Sasa wameharibu huku wakiwepo inabidi na wao wahusike kutotimiza wajibu wao!! Leo mtu anatolewa macho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.