Acha kupotosha, Jk alikuwa anaongelea masuala ya Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma kuwa haiwahusu akina Kilaini maana hoja ilikuwa wale watumishi wa Umma ambao walipewa pesa jee walijulisha Tume ya Maadili kama inavotakiwa na sheria?
Prof Anna karidhika na katuambia yaliyopita si ndwele tugange yajayo we ni nani hadi ulete fitna.rejea Hotuba ya Prof Jakaya ujue mapungufu yaliyolazimisha kumpumzisha Prof Anna Kajumuloy
Burudani sio kanuni maalum,ni jambo lolote la kufanya mtu afurahi, a relax asisimke, kama unakerwa na mikelele au kuambiwa mikono juu basi kuna wengine izo ndo stimu zao,kuna taarabu,bongo fleva,miziki ya Ala, Muziki wa Dansi n.k. Mshamba ni yule anae penda Muziki wa Dansi halafu anaenda kwa...
Waliberia walikuwa na kauli Mbiu hii kwa Charles Taylor "hata kama ameua Baba na Mama Yangu nitamchagua Charles Taylor " hii ilikuwa kukabiliana na Propaganda kuwa asichaguliwe kwa kuwa alishiriki mauaji, nasi tunasema " Hata kama ni Fisadi kura zetu ni kwa Edo
Chuki dhidi Ya elimu Ya Mtoto wa kike inawasumbua, Mliozoea Kubebwa na Mfumo dume ndo hamuachi kumsakama huyu mama,hakuna mapambano yasiyo na vikwazo
Wanawake wenye akili tupo pamoja nawe
Taifa limeshakubaliana kuwa Lowassa atosha acheni kujadili upuuzi.kwa Kuwa mzee Mkapa hawezi kurudi Ikulu tumeamua kukabidhi ikulu kwa Pacha wake kiutendaji ambae ni Mstahiki Rais wa Tano Ndugu Lowassa.
Babu anajidai Eti kageuka Sumaku (magnet)ya kunasa mawasiliano. Kila mtu anajua kuwa unaweza kuanzisha Email mbili tofauti kwa kutumia majina unayotaka then ukarusha email ukaenda kutangaza umenasa mawasiliano.mfano fmbowe@yahoo.com na nyingine drslaa@Gmail.com then ukarusha any sms kutoka one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.