Recent content by Songoro

  1. Songoro

    Hii Kauli ya Kikwete Kuhusu Majukumu ya PCCB Ilinishangaza Sana!

    Acha kupotosha, Jk alikuwa anaongelea masuala ya Tume ya Maadili kwa watumishi wa Umma kuwa haiwahusu akina Kilaini maana hoja ilikuwa wale watumishi wa Umma ambao walipewa pesa jee walijulisha Tume ya Maadili kama inavotakiwa na sheria?
  2. Songoro

    Waziri Tibaijuka kaonewa na kubaguliwa na Jakaya

    Prof Anna karidhika na katuambia yaliyopita si ndwele tugange yajayo we ni nani hadi ulete fitna.rejea Hotuba ya Prof Jakaya ujue mapungufu yaliyolazimisha kumpumzisha Prof Anna Kajumuloy
  3. Songoro

    Hivi mnaoendaga kwenye show za miziki ya kibongo mnafaidi nini hasa ?

    Burudani sio kanuni maalum,ni jambo lolote la kufanya mtu afurahi, a relax asisimke, kama unakerwa na mikelele au kuambiwa mikono juu basi kuna wengine izo ndo stimu zao,kuna taarabu,bongo fleva,miziki ya Ala, Muziki wa Dansi n.k. Mshamba ni yule anae penda Muziki wa Dansi halafu anaenda kwa...
  4. Songoro

    Wanaume tuacheni uoga, mabinti wadogo hawajui chochote

    Buriani Tanzania,muda huu wenzetu wanajadili kurusha vyombo vya kuzuru nje ya Dunia kuna kiumbe kipo Tz kinajadili nyuchi.
  5. Songoro

    Mangula, TISS mmelibariki genge hili la Lowassa kugawa kwa wajumbe mamilioni ya Xmas na Mwaka Mpya?

    Waliberia walikuwa na kauli Mbiu hii kwa Charles Taylor "hata kama ameua Baba na Mama Yangu nitamchagua Charles Taylor " hii ilikuwa kukabiliana na Propaganda kuwa asichaguliwe kwa kuwa alishiriki mauaji, nasi tunasema " Hata kama ni Fisadi kura zetu ni kwa Edo
  6. Songoro

    Huyu atakuwa wa kabila gani?

    Shombeshombe la vikwangua ngozi vya Beijing na shanghai
  7. Songoro

    Mgao wa escrow: Jimbo la Muleba limepata 1.6 bilion

    Chuki dhidi Ya elimu Ya Mtoto wa kike inawasumbua, Mliozoea Kubebwa na Mfumo dume ndo hamuachi kumsakama huyu mama,hakuna mapambano yasiyo na vikwazo Wanawake wenye akili tupo pamoja nawe
  8. Songoro

    Hivi baada ya BMK, mzee Samwel Sitta bado anautaka urais au amebadili wazo

    Taifa limeshakubaliana kuwa Lowassa atosha acheni kujadili upuuzi.kwa Kuwa mzee Mkapa hawezi kurudi Ikulu tumeamua kukabidhi ikulu kwa Pacha wake kiutendaji ambae ni Mstahiki Rais wa Tano Ndugu Lowassa.
  9. Songoro

    Kampuni ya PAP ilighushi nyaraka kabla ya kuchota mabilioni kutoka Escrow account

    Zilipendwa.tunajadili jinsi ya kutatua kero za wapiga kura sio ngonjera tena zilizokwisha fanyiwa kazi na Mdemokrasia wa kweli ndugu Jk
  10. Songoro

    Ving'amuzi vya Azam vyaanza kusumbua!

    Bure Gharama, we ulipie elfu 12 ujiachie mwezi mzima.ukipenda vya bei rahisi uwe na kifua cha kuvumilia hizo karaha
  11. Songoro

    Maumivu ya kuchapiwa yasikie kwa jiran.

    Inaitwa Jino kwa Jino.ukihisi una kidonda usiwe mchokozi maana utatoneshwa
  12. Songoro

    natafuta demu wa kutoka nae mwaka mpya

    Pombe za Offer pia mnywe Kistaarabu.
  13. Songoro

    Tunajihusisha na uuzaji wa mbwa wa ulinzi wa kisasa

    Shephard unao,wana umri gani wameshakuwa trained,kiasi gani unauza kwa mmoja, wanapatikana wap
  14. Songoro

    Mwaka 2014 utaukumbuka kwa lipi?

    Miss Temeke Sitti bint Zubeir kuzaliwa miaka tofauti lakini tarehe na mwezi kafanana
  15. Songoro

    Dr.Slaa live ITV akichambua hotuba ya Kikwete

    Babu anajidai Eti kageuka Sumaku (magnet)ya kunasa mawasiliano. Kila mtu anajua kuwa unaweza kuanzisha Email mbili tofauti kwa kutumia majina unayotaka then ukarusha email ukaenda kutangaza umenasa mawasiliano.mfano fmbowe@yahoo.com na nyingine drslaa@Gmail.com then ukarusha any sms kutoka one...
Back
Top Bottom