Mkuu sidhani kama madai yako ni sahihi sana....Hosteli ni kazi ya warden, udahili TCU, notes wengi tu wanatoa labda Nyambo ndy msumbufu, past papers zimejaa kagera stationary, ukabila cjui unahusikaje MUHAS, huko clinical cjui
You will never be able to separate Roman Catholic and world politics.... In short they are the one who runs the world. Even USA is under Papacy .... Marais wote wakristo Tanzania ni wakatoliki... Why??? Jijibu mwenyew... Ila pia wanaokuita mdini wanakisoea since vyote ulivyosema ni sahihi....
And by the way I'm not a politician... I think hujawah kuona comment yang yoyote huku except today ... I just commented bcoz I know the real situation and you people trying to cover the truth....... Unaleta siasa wakati watu tunaumia..... Jumatano wanatusambazia magazeti ya Jambo Leo et tuone...
Yaan dah........ Inaumiza.....Watu wengine wanashindia mikate na maji kila cku..... Wengine tunaishi off campuses... Nauli kila cku bado hujadaiwa hela ya LUKU.. Mara maji............. It's so painful to live like a beggar in your own country......
Hebu tafuteni uongo mwingine bas.... Mm ni Mwanachuo na hakuna Pay sheet yoyote iliyofika vyuoni.... Hadi Jana Majibu ya bodi ni kwamba hawajapewa hela na Hazina.......
Mtuma post unaposema wasabato masalia unamaanisha nini??? Una uhakika wasabato wanakatazwa kama hao??? Kama huna uhakika na kitu its better to keep quite.....!! Usichukulie msimamo wa mtu kuwa msimamo wa kanisa.. Mbona Ben Carson ni msabato na anataka kugombea urais..
Nafurahi umeona mafuriko....Hebu katafute statistics uone kati ya hao unaowaita wasomi na wasio wasomi wengi ni wap..
Natamani nijue upo mazingira gani na elimu yako ni level gani.. Unategemea wasomi thn una neglet wanavyuo.....??? Sijui wasomi gani unawategemea
Kila chama kipo kwa maslah binafsi! CHADEMA na CUF wanataka kupata madaraka via serikal 3 while CCM hawataki kung'oka via serikali mbili!! Ili kupunguza gharama its better kuwa na serikali MOJA tu since watumishi wa serikali watapunguzwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.