IGP Simon Sirro afanya mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa mitatu,kwa kuona habari hii kwa kirefu fungua link hii IGP Simon Sirro afanya mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa mitatu - Habari Mtaa
Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima amemshauri rais Magufuli kuunda timu au bodi ya watu wachache wenye ufahamu na uelewa wa siasa ya biashara ya madini kimataifa
habari zaidi fungua link hii Askofu Gwajima amshauri Rais Magufuli kuhusu biashara ya madini. - Habari Mtaa
Hii ni kweli kabisa,taasisi mbalimbali nchini hii dhambi ya ubaguzi kwa Mungu watakuja kuijibu,mimi nina dada yangu flani aliwahi kufanya interview Haki Elimu mpaka hatua ya mwisho wakampigia simu kuja kuongea makubaliano ili kukamilisha taratibu baada ya kumwona ni mremavu wa mkono wa kushoto...
Serikali yakanusha taarifa ya CCTV Africa kuwa Tanzania kuna tishio la Al Shabaab
habari zaidi fungua link hii Serikali yakanusha taarifa ya CCTV kuwa Tanzania kuna tishio la Al Shabaab - Habari Mtaa
Katibu wa CCM wilaya ya Hai, Laurence Kumotola, amekamatwa na polisi kwa tuhuma ya kuwazuia askari kufanya kazi yao ya ulinzi, wakati wakitaka kuingia katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya Hai.
Kufuatilia habarii zaidi fuatilia link hii Katibu wa CCM Wilaya akamatwa kwenye Maandamano -...
Hospitali ya Rufaa ya KCMC iliyopo mkoani Kilimanjaro imesitisha kutoa huduma kwa wafanyakazi wa makampuni saba yanayotumia bima za afya kutokana makapuni hayo kudaiwa zaidi ya shilingi bilioni 2.2.
Taarifa zaidi fungua link hii KCMC Yasitisha Kutoa Huduma ya Bima Kwa baadhi ya Makampuni. -...
Kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea nchini kenya jijini Nairobi la mlipuko wa mabomu na kufyatuliwa kwa risasi katika hoteli ya kifahari iliyoko mtaa wa Riverside, kundi la kigaidi la Al-shabab wamekiri kuhusika katika shambulio hilo.
Fuatilia habari hii kwa kina katika link hii Al-Shabab...
Vannessa anatisha!! Mwanamziki gan wa kike Tanzania umeona nyimbo yake inapigwa TRACE.MTV au Channel? Sidhani kama Jdee nyimbo zake zimewahi kupigwa huko zaidi ya East Africa tu.
Sana...nimemsikiliza leo na jana...jamaaa yuko vzr ndio wabunge tunaowataka bungeni sio kusinzia na kugonga meza kupitisha kila kitu kinachojadiliwa bingeni bila ku urge au reson!! Safi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.