Recent content by Somebody’s Son

  1. Somebody’s Son

    Wazo la Mnada wa Magari Yaliyotumika Nchini

    Yaani na mimi ndio nilikuwa nataka kuandika hii comment.. mtoa mada.. i like your thinking..
  2. Somebody’s Son

    Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

    umejiuliza huenda Diamond ndio haachwi kuwa huru?
  3. Somebody’s Son

    KWELI Chuo cha MUST kimetangaza fursa za masomo bure

    Hii ni kweli??l
  4. Somebody’s Son

    Hii kitu imeniuma sana, nimebeba mifuko 70 ya Cement nimelipwa 1500

    Kwahiyo kila mfumo wa cement umelipwa sh 21.. Je uliuliza malipo ni ngapi kabla ya kuanza kazi??
  5. Somebody’s Son

    Mnapofanya Maendeleo msisahau kushirikisha ndugu zenu hata Kama mna ugomvi

    Nina Jirani ( sasa ni marehemu) alikuwa na Mgogoro na mke wake, kuhusu Mgogoro wao hatukujua mpaka jirani alipofariki. Sasa hii story ni mrefu ila Kwa unduly Jirani alijenga nyumba ya biashara ( guest house, na frame za maduka) maeneo ya Kigamboni bila mke wala watoto kufahamu, na alipojenga...
  6. Somebody’s Son

    Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polisi wanamtafuta

    huyu dogo mbona wanasema TISS
  7. Somebody’s Son

    Inapendeza kwa viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao kwenye ziara maalumu kuepusha yaliyotokea Bolivia

    Kwa ambao hamjui yaliyotokea Bolivia Gusa link sogea telegram 😅😅
  8. Somebody’s Son

    Weka hapa tabia za ovyo za madereva wa bongo zilizojaa ushamba, ubabe, chuki na usela

    Kuna ile mtu amevimba katikati ya barabara ( hususani usiku) akiamini atatembea upesi kumbe gari ina piston 4 😅😅.
  9. Somebody’s Son

    Weka hapa tabia za ovyo za madereva wa bongo zilizojaa ushamba, ubabe, chuki na usela

    Kuna ile taa ya kijani imewaka tu, utasikia honi hapo hapo ushapigiwa ☹️☹️
  10. Somebody’s Son

    Leo ni siku ya tatu mpenzi wangu bado kasusa kunitakia heri ya mwaka mpya

    Herufi “y” Ina kazi gani kwenye neno “ kitu’?
Back
Top Bottom