Recent content by Sombiro

  1. S

    Mbowe: Kikwete akijiongezea muda hatutakubali, nchi itawaka moto

    tulia dawa ikuingie! ccm ndiyo imeshika dola jeshi lipo chini ya Ccm unaweweseka nini? upinzani hawana hata Manati acha wogaaaaaaa
  2. S

    Mbowe: Kikwete akijiongezea muda hatutakubali, nchi itawaka moto

    mbona kakimbia akakuacha wwe!
  3. S

    Gwajima: Siwezi kuwasahau Dr. Slaa, Lowassa

    Gwajimaaaaaaaaaa Shujaaaaaaaaaaaaaaa!
  4. S

    Rais Kikwete ateua wabunge wapya wawili

    Ubongo wa Mbatia ni sawa na wabunge 30 wa CCM!
  5. S

    Joseph Mbilinyi (SUGU) hatutakuwa nae tena bunge lijalo

    Job K Achana na Wapumbavu wanashindwa kuelewa kuwa hizi barabara % 90 inajengwa na waisani nideni letuwote tutalipa sisina vitukuu wetu mpaka deni liishe! wao wanamshangaa Sugu. je ja kaya na Lowassa nani aliyechangia misaada mingi kwa wananchi? Sugu ni mwananchi anayeishi kwa mshahara tuu...
  6. S

    Joseph Mbilinyi (SUGU) hatutakuwa nae tena bunge lijalo

    kainame uone kama nikiazi!
  7. S

    Wahariri wampuuza Nape

    Vuvuzelaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
  8. S

    Wahariri wampuuza Nape

    kazi ya nepi nikunyonya uchafu!
  9. S

    Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya wanaompinga Zitto...

    hayo ndiyo ukisikia maamuzi ya kiume ndiyo hayo
  10. S

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    Ataanzia wapi! Mfanya kazi wa Ikulu kachanganywa na Chenge wakina ngeleja Tibaijuka, vpi wwe! Hakuna mfano wa mwalimu nao wanajua
  11. S

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    Acha kutoa povu Sema alichoiba
  12. S

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Tamaaa zimemjaa mamluki huyo aendeakajiunge na mamlukiwenzie ACT na akifika anavyopenda vyeo Mwigamba ajiandae kuachia!
  13. S

    ACT-Kigoma wararuana kisa ubunge

    kile chama cha kuanzia Boss hadi mfagiaji ni wasaliti wa vyama vingine unategemea serekali hapo! genge la wahunii hiloo!!..
  14. S

    Baraza la Maaskofu Katoliki lawataka serikali kuhairisha upigaji kura wa katiba mpya hadi mwakani

    kama chenge ndiyo huyo mnaemsikia kwasasa atakutengenezea katiba gani sasa! ilekatiba ni yakwao watapitisha wao achana nao chapa kazi zako
Back
Top Bottom