kisaka victpr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 657
- 116
Usisumbuke naye,chamsingi umeripoti kilichojiri!Fatilia Id yangu vizuri
Usisumbuke naye,chamsingi umeripoti kilichojiri!Fatilia Id yangu vizuri
Usisumbuke naye,chamsingi umeripoti kilichojiri!
Eti anasema Kigoma kas walimpa kura chache 2010 coz ya dini yake,nao wakamwuliza 2005 walikuwa hawaijui dini yke ?na kuahidi kumnyima kura 2015 that y Zitto kaamua kwenda kwa wenzake
Sasa kama ndo hivyo kwani Kigoma mjini hakuna wakristo? Udini utammaliza aendelee kuukumbatia tu.
kimsingi kigoma mjini hatuongozwi na wa2 wenye elimu ndogo....kna wa2 kibao wenye elimu zao ...when it comes to decision making huyo mogha hatokuwa na uwezo wa maamuzi yanayohitaji weledi....xo akae pembeni asome kwanza
kile chama cha kuanzia Boss hadi mfagiaji ni wasaliti wa vyama vingine unategemea serekali hapo! genge la wahunii hiloo!!..
Genge la wasaka tonge
Et anajifananisha na mahathir mohamed? Mahathir hakuwahi kuwa mamluki au msaliti
Duh ikifikia hatua mpinzani anabadilishana jimbo na chama tawala basi ni disaster
Kumbe Zitto anafanya biashara ya siasaDuh ikifikia hatua mpinzani anabadilishana jimbo na chama tawala basi ni disaster
Asigombee ubunge ale wapi? Zito yeye dili zake huwa anapigia kule mjengoni jamani! atakufa njaa!!
ACT ilikufa siku ile ile kinaanzishwa