Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Nape akili hana,ana akili ya kwenda maliwatoni kukata gogo tu. Huwezi kuongea ujinga kiasi hicho kiongozi wa kitaifa
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.
Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.
Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.
Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!
Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.
Taarifa ya Nape ya kukanusha tuhuma za chama chake kutaka kumdhuru Dr.Slaa zimepuuzwa kwa kiasi kikubwa na magazeti mengi ya leo kwani wahariri wameipa kisogo habari hiyo kwa kutoichapisha katika kurasa za mbele za magazeti na mengine kutoandika chochote kabisa kuhusu habari hiyo yakiwemo magazeti ya chama na serikali.
Ukiacha habari kuhusu ajali ya Mbeya,habari nyingine iliyotawala ni kauli ya Zitto Kabwe kudai hana taarifa za kufukuzwa na kwamba anasubiri maamuzi ya spika.
Yaani kauli ya Zitto kwa waandishi yamfunika Nape wa chama tawala!
Kweli Nape na CCM yako watu wamewachoka!
Mwisho wa ubaya aibu!
Mwone huyu nape anavyofikiri anafanya mambo ya msingi badala ya kuwapeleka shule watoto masikini anazidi kuwapoteza mitaani,yaani hana akili akili zake ni mgando sana tena ni za MaharageSasa itafikiaje walengwa bila vyombo husika kuhusika.
Btw Huyu mzee yeye anapambana porini huko akina Chenge wao wapo mjini wanapiga hela.
Nape ni mwendawazimu,hana akili timamu. Taarifa yake imeandikwa na gazeti la Uhuru tu.
Sijawahi kuona mtu ambaye ubongo wake hauna ushirikiano na mdomo wake kama Nepi.
halo kweli umesema maana anajulikana ni jinamizi la chama chetuJamani!
Huyu ni katibu wa ITIKADI na UENEZI wa CCM!Mlitegemea afanye nini?
Mie nilishazoea nikimuona nape anaongea kwa TV ni kubadili channel tu kwa sababu najua wazi kwa mujibu wa nafasi yake ni kufanya NYEUSI ionekane NYEUPE na kupindisha ukweli!!
Kwa hiyo asiwasumbue kichwa huyo,yupo KAZINI!!!!
Na ndio maana hata waandishi wa habari wanampuuzia kwa kuwa wameshajua kuwa ni MUHONGO!!!
Hoja ni habari kuandikwa kwenye magazeti au kuwafikia walengwa?.
Kwani wewe hiyo habari ya kukanusha umeipata wapi?.
Kama hujaipata kwenye gazeti huoni kuwa ujumbe wake umefika kwa walengwa bila hata ya kutegemea magazeti.
Vijana wa bavicha mnafurahisha sana!
Huwezi hata kuchambua hoja kwa kutumia fikra pana na pevu ili kuelewa mantiki yake.