Habari za majukumu ladies and Few Gentlemen
Nauza Hizi Grill ziko 7.
Bei ya Hasara, elfu 95 kila moja.
Utaweka kwenye milango yako na unaweza kupunguza kulingana na Size ya Mlango wako.
Napatikana Igoma.
0683011003 interested customers
Naomba kufahamu kwa wajuvi wa sheria hapa JF.
TCRA ni taasisi inayosimamia mawasiliano hapa TZ.
Je hawa watu wanahusika na kutunga sheria?
Mfano ni kuhusu hili suala la VPN
mkuu ulinipa namba ya mganga yuko Tanga lakini kila siku anafos nimpe hela ya vifaa sijui na madudu gani.
kila nikimwambia niko busy subiri haelewi ananipangia mpaka mda wa kufanya shughuli zangu.
Kusema kweli nahisi mnafahamiana na huyu mtu, na mnafanya kazi pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.