Recent content by sokwe hapiki

  1. S

    ACT-Tanzania na Msingi wa Utu

    mimi najua neno moja 2 kuwa hili nigege la wasaka madaraka 2 basi
  2. S

    Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

    Za panya road ak ccm uko wa panya baba mwizi mama mwizi.
  3. S

    Mdada wa kazi kuwa pozi za kutegana ni sahihi......!

    Mimi nadhani akunyima sema unatafuta pakusemea ili moyo wako upunguze hasira ulivyo na uchu wewe
  4. S

    Mume kufariki baada ya mke kumuacha

    Mimi na dhani huo niujinga miaka23 hujui pakwenda kumbuka kuwa mtu mzima hawi yatima jitambue
  5. S

    Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

    Hawa wanapinga vitendo vilivyo fanywa na mahaka wakishilikiana na police kuwa nyima zamana watu walio gomea sensa pia inasadikika kuwa kunamama alikamatwa na police wakamuzalisha hadi akapada buridi ili hari mjamzito chazo hutuba ya leo msikiti wa mtoro.
  6. S

    Baba mkali

    Teh teh asante kwa kuniongezea siku.
  7. S

    Baadhi ya wabunge wa CCM na Upinzani wadaiwa kuhongwa na menejimenti ya TANESCO

    Mm naomba nimtete zito hajapewa chochote na huo ni uzushi wa ccm ili ionekane kwamba hata cdm wanachukua rushwa kama nikweri nani alimpa hiyo rushwa nakwanini alie toa na alie poke kwanini hawakamatwi? hivyo lazima tujaribu kufikia kazi ya usalama wataifa ni kwa urimboka tuu! Uzushi wa ccm na...
  8. S

    Masikini CHADEMA- Kwishnei

    Hakika wajinga hawaishi.
  9. S

    Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

    Ujinga nikipaji pendwa na ccm.
  10. S

    Madiwani watano wa CHADEMA Moshi watuhumiwa kwa vitendo vya rushwa

    Hivi diwani anahusika vp na uotoaji vibari vya ujenzi hadi apate mwenya wa kuomba rushwa kwa mambo yanayo husiana na ujenzi? Msada tafadhari mm sielewi.
  11. S

    UHURU: CHADEMA yapasuka

    Muongo mkubwa ww.
  12. S

    Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012

    Mm na washanga sana wanaosema hawajaona jipya jangwani ikiwa kuna anaetengemea jipya toka ccm atasubili hadi kifo kitamfika .
  13. S

    Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko...

    Kuacha kula rushwa kwangu mwiko.
Back
Top Bottom