Hawa wanapinga vitendo vilivyo fanywa na mahaka wakishilikiana na police kuwa nyima zamana watu walio gomea sensa pia inasadikika kuwa kunamama alikamatwa na police wakamuzalisha hadi akapada buridi ili hari mjamzito chazo hutuba ya leo msikiti wa mtoro.
Mm naomba nimtete zito hajapewa chochote na huo ni uzushi wa ccm ili ionekane kwamba hata cdm wanachukua rushwa kama nikweri nani alimpa hiyo rushwa nakwanini alie toa na alie poke kwanini hawakamatwi? hivyo lazima tujaribu kufikia kazi ya usalama wataifa ni kwa urimboka tuu! Uzushi wa ccm na...
Hivi diwani anahusika vp na uotoaji vibari vya ujenzi hadi apate mwenya wa kuomba rushwa kwa mambo yanayo husiana na ujenzi? Msada tafadhari mm sielewi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.