Tumia Akili kidogo iliyobaki kwenye fuvu lako Unijibu maswali Haya
-Ulipewa hiyo nafasi ya kuziona hizo unazoita takwimu?
-Hali ya vituoni uliiona?
- Niaminishe kwamba INEC ni Huru
Kimsingi huna lolote wewe unatetea Uozo, Chawa unatuona Hatuna akili au Sio 🤣🤣
Mkuu mwenendo wa Taifa ni mbaya mno, watu wanatekwa, wanauliwa, ukikosoa wewe ni mhaini...
- Katiba iliyomuweka madarakani aliita kijitabu (Dharau Gani hii?)
-Hukuona Kuelekea October alijiteua Kutetea kiti huku wapinzani wake wakiminywa?
Uchaguzi mkuu Kajipitisha kwa 97 % hao wapiga kura...
Na ameshinda tuzo ya Dicteta wa Dunia we huoni? Kwa akili yako unadhani anasingiziwa 🤣🤣🤣 Njaa sio nzuri
Usomi wako ni hasara kwa Taifa kwa mwenendo huu
KUBADILI UMILIKI
Kubadili jina anaweza kufanya alyekuuzia kwa kuingia kwenye account yake ya TRA portal Au kama hawezi nenda nae TRA iliyopo karibu nawe
*Nyaraka zinazohitajika ni
1. Mkataba wa mauziano
2. Risiti kutoka kwa mwanasheria inayoakisi ghrama halisi iliyoko kwenye mkataba wa mauziano...
Anasoma bila shida ....
Entry requirements Za Diploma programmes ni D 4 za msaomo yasiyo dini kwa O- LEVEL, Advance na level nyingine za chuo huwa ni kuwa ni additional requirements
Siku hizi huduma za LATRA kwa pikipiki na Bajaji ni online (kama ilivyo kwa Magari) hupati huduma kama una kadi FEKI maana mfumo umeunganishwa na TRA, Dar ujanja ni mwingi but kila lakheri.
Wazuri wengi mafuvu yao hayana kitu (akili za maisha). Fikra zao huwatuma kwamba wamekalia uchumi 😂😂😂 kitu ambacho sio uhalisia wa maisha ya ndoa, wanasahau kwamba Mwanaume huanza kwa kutamani then upendo. Tabia ndo itamfanya aamue atadumu nae kwa muda gan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.